TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
Pole sana mkuu..............
Umeambiwa usitoe pole......... mbona unaniangusha??
Pole sana mkuu..............
....Funguo inahitajika watu kama wewe kufanikiwa na mapambano dhidi ya UKIMWI.hatuwezi kuushinda UKIMWI kwa kuwa wanafiki na wenye unyanyapaa. Maisha lazima yanedelee, na UKIMWI au bila UKIMWI. Watu mlio katika ndoa, mnapaswa kujiangalia sana, takwimu kila kona ya Afrika zinaonyesha sasa maambukizi yanaenea zaidi miongoni mwa wanandoa, au watu waliokatika mahusioano yenye " uaminifu" kwa muda mrefu. Sababau zake ziko wazi; hawa ndio wasiotumia Kondomu. Wale "vicheche" na watu wa "hit and run" wanajijua kuwa ni watu wanaochukua risk, hivyo wanatumia Kondomu. Ndigu, Ufunguo, kwa kuwa umeshajitambua, umepiga hatua muimu ya kuaza kukabiliana na UKIMWI. Nikutie moyo, kwa dawa na huduma zillizopo, huna tofauti na wengi wetu. Nawajua watu wanaoishi maisha ya furaha, na yenye afya kwa zaidi ya 15 yrs. Nakutakia kila la heri kumpata mwenzako!kauli yako haijawa na mwisho mwema.kwamba kuoa/kuolewa ndio kutatue tatizo lao??la hasha...usijidanganye royna kwamba hukokwenye ndoa ndio u will be more safe 100%..hapana.chance zote are posible...full solution ni lifetime abstainance...otheryz utakua unaninyanyapaa mimi na wewe mwenyewe.
Mkuu takugongea like nikiingia kwa lap,una moyo wa kishujaa , Mungu yu pamoja nawe mkuu! Salute..baada ya kupimwa na kupewa majibu nimegundulika nina VVU mwilini mwangu.............
mwanzoni ilinipa tabu kidogo ila nilijikaza kiume kuukubali ukweli..huwa ni mtu nisiyependa kuregret in life hasa inapotokea nimeshapoteza kitu.................bado ni kijana; mwanaume mwenye sifa zote.educated.nina biashara zangu zinazoniingizia kipato cha kawaida...........
ila nawaasa ndugu zangu kwamba muda wowote siku yeyote you can be a victim........hakuna anayejipa ugonjwa huu...
nilikua na mtu niliyemrespect na kumuamini kupita kiasi....tulijenga utaratibu wa kucheki afya zetu kila baada ya miezi sita na hii ilisaidia sana kujua afya yangu mapema....mwenzangu alianza kuweka sababu na visingizio nikawa napima peke yangu hadi nilipoujua ukweli...sikumwambia!! huyu mwenzangu tayari tumetengana baada ya kuwa tunapishana sana kauli na vitendo lakini si kwa sababu ya status niliyo nayo maana sikumwambia.......
naendelea na biashara zangu happily n healthier wala hakuna anaefahamu.....
nafeel guilty kuingia kwenye new relationship na binti ambaye ni negative....natumai wote wangekua kama mimi huu ugonjwa tungeutokomeza kabisa...lakini haipo ivyo...........
ombi langu mwisho kabisa ni kuweza kumpata binti anaenikubali na hali yangu hii preferably positive!!
usinipe pole......
Heko kwa kupima kamanda. Nina mwaka wa 3 bado napangua tu tarehe za kupima. Nikifikiria tu huko naishiwa nguvu.
Hebu tuulizane jamani,hivi ni wana jf wangapi tumepima? Kupima mchezo? Watu kibao wanapima na hawaendi kuchukua majibu.Ufunguo nikupongeze kwa busara yako ya kupima mara kwa mara,i can tell you it has saved your life.
Ushauri wangu:Tafuta daktari mmoja TU awe confidant wako,usitumie madaktari wengi,kazi yake ata monitor progress yako na kukupa ushauri wa mara kwa mara.Don't touch ARV's mpaka dokta akwambie.Kula vizuri , tumia multivitamins.
Kuhusu kuoa hilo wala sio tatizo mbona zipo dating agencies na websites where you can get hooked up na mrembo atakayekubali hiv status yako?
....ishu kama hii inabid uweke ur real name....
Kinyume na hapo ni vumbi tu...
....ishu kama hii inabid uweke ur real name....
Kinyume na hapo ni vumbi tu...