Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
- Thread starter
- #21
Umesahau?
Anyway,vp lakini Bibi yako arobaini yake tayari?
nimesahau nikumbushe,40 bado
Umesahau?
Anyway,vp lakini Bibi yako arobaini yake tayari?
Umesahau?
Anyway,vp lakini Bibi yako arobaini yake tayari?
shosti miss you
toba!...ulinisaliti nini tena Madame B nambie
kwani hujui alichokusaliti? We c ulikuwa shemeji yangu? Nadhani hapo anamaanisha kakuacha, asa hv yupo na mwingine ambaye cjatambulishwa ruttashoborwa
kwani hujui alichokusaliti? We c ulikuwa shemeji yangu? Nadhani hapo anamaanisha kakuacha, asa hv yupo na mwingine ambaye cjatambulishwa ruttashobolwa
Missng u too Best a'ngu.
Nampasha huyu Ruhazwe,anajidai kupotezea.
Vp shem wangu hajambo?
Mpe salamu zangu kabla hakujapambazuka.
kalitambulishe hilo zee uone kama shemeji Kijino hajafa na kicheko,