Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Du - Si watawafundisha watu tabia mbaya?
Dah hawaoni aibu hawa jmni wagonjwa wawili wawili mhh
Ahadi nyingi zimekuwa zikitolewa na wagombea wa CCM kuwa wataboresha huduma za afya, huku JK naye akisema atapandisha hadhi baadhi ya hospitali kuwa za Rufaa. Huo muda waliokuwa nao walikuwa wapi?
Sasa angalia maisha bora ya Mtanzania katika picha hapa.
kweli hali hiii inasikitisha...! usishangae huyo mgombea wa sisiem kaja hapo na V8 tano ziko nje...!