Kubwa la majingaUnapitwa kwenye kata zote utashindaje ubunge?
MALIPO YA DHULUMA NI LAANA NA KIFO
LAANA YA MUNGU IWAPATE WOTE WALIOSHINDA KWA DHULMA NA WIZI
BARAKA ZA MUNGU ZIAMBATANE NA WALIOSHINDA KIHALALI NA WALIO TAYARI KUWATUMIKIA WANANCHI
Usisahau na MAREKANI nako Wanasema JOE BIDEN kaiba kura ... na kuna irregularities na KURA FAKE. no country can practise 100% democracy is a Lie in this World.Mimi ninafikiri Africa tuna laana. Sina jibu lingine. Maana yaliyofanyika Tanzania yanafanyika Zimbabwe , Uganda, Burundi, na kwingineko.
Mkuu, I salute youHili nimelisema sana, Magufuli hana uwezo wa kupata 10t+ ndani ya hii miaka mitano kumalizia hiyo miradi miwili ya SGR & SG respectively. Ataumiza wananchi kwa kodi kandamizi, na atalazimisha kubaki madarakani kwa kisingizio cha kutaka kumalizia miradi yake, na wala hataweza. Wakati akifanya hayo atatengeneza maadui wengi wa ndani na nje, na ataona madarakani ni sehemu pekee ya kufia. Sioni akiachia madarakani kwa amani.
Mkuu, I salute youHili nimelisema sana, Magufuli hana uwezo wa kupata 10t+ ndani ya hii miaka mitano kumalizia hiyo miradi miwili ya SGR & SG respectively. Ataumiza wananchi kwa kodi kandamizi, na atalazimisha kubaki madarakani kwa kisingizio cha kutaka kumalizia miradi yake, na wala hataweza. Wakati akifanya hayo atatengeneza maadui wengi wa ndani na nje, na ataona madarakani ni sehemu pekee ya kufia. Sioni akiachia madarakani kwa amani.
Hili nalo neno......Unapitwa kwenye kata zote utashindaje ubunge?
Hauko salama.Unapitwa kwenye kata zote utashindaje ubunge?
Kama Kuna waliopokea na kukubali hayo matokeo, itakuwa ni baadhi tu ya makada wa ccm, ambao ni wachache mnoNawapa pongezi watanzania kwa kuyapokea Matokeo, na pia nawaomba wakubaliane na Matokeo ya waliojiamulia leo yawe mabaya au mazuri, kupanga ni Kuchagua
Dogo, mbona unaleta masihara kwenye mambo serious?Kwann Mbowe asitoe maelekezo kwamba wafuasi wote wa upinzani waombe kujiunga CCM.
Waisifie CCM, waende wakaongeze ushindani wa kupongeza ndani ya CCM.
Humu jukwaani Woote tuwe CCM, asiwepo mpinzani hata mmoja. Na kila elekezo linalotolewa na CCM lipongezwe sana. Mada ziwe ni kupongeza tu bila kuchoka.
Iko wazi refa aliruhusu magoli ya off side kwa ngazi zote.Unapitwa kwenye kata zote utashindaje ubunge?
Anamaanisha kuwe na "passive resistance" lakini hii haitasaidia, kwa aina ya watu waliopo watafurahia, na mwisho taifa litadumaa.Dogo, mbona unaleta masihara kwenye mambo serious?
Mnajitia upofu msioukuwa nao? mmepewa macho ya kuona ila mnajitia upofu, mmepewa masikio ya kusikia ila mnajifanya viziwi! mmepewa mdomo wa kusemea maovu ila mnajifanya mabubu! mmepewa akili ya kuchanganyua mambo lakini mnajitia wazimu.Kwani Ukihamia na wewe CCM Kama Mtanzania wa kawaida utapata Hasara gani Mkuu. Hujistukii tu hata hapo ulipo watu hawawazi Kama unavyowaza wewe watu wetulia kabisa maanake we ndo unaakili kuwazidi wao ama?
Upinzani kuongoza Hii Nchi bado Sana. Kama majimboni tu wameshindwa nchi wataiweza kweli Mkuu, Watanzania tumebarikiwa na Mungu, uwe na Imani na uongozi wa Magufuli Ila hao wabunge wenu huko majimboni ruksa kuwa doubt!