Maige afichua siri nzito maliasili

You are missing the point somewhere, anachosema Maige ni kupewa adhabu asiyostahili, usikimbilie kumhukumu kuhusu uwaziri tu, try to think twice

Huyo anajaribu kujitetea waliochagua waone hakufanya makosa, anaelezea kuhusu kina Kamran? kwani alikuwa wapi wakati Twiga wanasafirishwa? si hapo hapo wizarani tena naibu waziri. Mbona hajazuia alipokuwa hapo, mpaka siri ilipotoka ndio anajidai yeye aliyewashika? huu ni ufinyu wa mawazo kutoka kwa Maige.

Aliyopewa Maige siyo adhabu, ni kaishindwa wizara na kaondolewa. Adhabu inamngoja atapopandishwa mahakamani na kuonekana ana hatia yoyote ile, kama hafikishwi mahakamani basi ni chachu tu za kazi lakini si adhabu.
 
Huyo anajaribu kujitetea waliochagua waone hakufanya makosa, anaelezea kuhusu kina Kamran? kwani alikuwa wapi wakati Twiga wanasafirishwa? si hapo hapo wizarani tena naibu waziri. Mbona hajazuia alipokuwa hapo, mpaka siri ilipotoka ndio anajidai yeye aliyewashika? huu ni ufinyu wa mawazo kutoka kwa Maige.

Aliyopewa Maige siyo adhabu, ni kaishindwa wizara na kaondolewa. Adhabu inamngoja atapopandishwa mahakamani na kuonekana ana hatia yoyote ile, kama hafikishwi mahakamani basi ni chachu tu za kazi lakini si adhabu.

Kama alivyoshindwa baba mwanaasha
 
Haya mambo yote ni kama tunazunguka duara, Maige ameongea kwa kuuma maneno, lakini wenye busara watakuwa wamemuelewa. Lowassa peke yake ndio hakuuma maneno, tatizo la dhati la nchi hii ni uongozi wa juu, inaposema uongozi wa juu ina maana ni JK. JK ni hopeless katika uongozi, amekuwa anaiyumbisha sana hii nchii na tabia yake ya 'Two Timing Thinking'. Pia nashangaa ni kwa nini sisi wananchi tunashindwa kuingia mtaani kufanya mapinduzi ya kweli, rather tunaendelea kupiga kelele kwenye key boards tu, wakati huyu mwehu anatupeleka hell... Tuamkeni waTZ nchi inamalizwa hii...
 
Maige katika waraka wake nilisoma sehemu nanukuu! Hata Yesu alihukumiwa japokua waliomuhukumu walijua ni mwana wa Mungu! mwisho wa kunukuu. Sasa Maige anataka kutuambia yeye pia ni Yesu??? Mimi kwamtazamo wangu naona Maige ana Frustration za kuukosa uwaziri angekaa kimya tu! Achukulie mfano kwa kina Basili Mramba wanatuhuma za wizi wa hela za serikali lakini wamekaa kimya! Umechemsha baba!
 
Inasikitisha hawa mawaziri kuendelea kutolewa kafara kwani mambo yakiharibika wanadhani watalindwa na ndioa maana wengine huwa na kiburi.kwanini uwa mnashindwa kusema ukweli wakati muafaka na badala yake mnaishia kulalama mkishapigwa chini.Bungeni alilalamika kaonewa leo analaumu wakubwa hii maana yake nae hana uzalendo vinginevyo angejiuzulu mapema kabla ya shinikizo.Na hapa hata yule waziri mkubwa nae awe makini naamini nae asipoweza kujiuzulu atakuja kudhalilishwa.

Hata Msabaha alilalama kuwa katolewa mbuzi wa kafara kwenye kashifa ya richmond.Jamani cheo ni dhamani na sasa mumuweke wazi huyo mkubwa ili umma umuwajibishe.Tumechoka kusikia watu kulalama baada ya kupigwa chini na anaewaponza mnamficha na sijui kwa manufaa ya nani.
 
Serikali imeoza..tokea miaka ileeeee.ya nyerere.. watendaji ni wale wale...waliopo kwa muda mreefu madarakani.hii imefanya kuzigeuza idara nyeti za nchi kama miradi yao binafsi..kifupi.. we need an overhaul on our system somthing which can not be done in this century unless hao mazee yote yaende zao..
 
kwa mfano nikipewa nafasi leo ya kuongoza wizara yeyote ile
nitakachokifanya ni kufuata sheria na kukomalia kile kiitwacho top down comand,yaani wale wanaojiita wakubwa watakoma kunijuwa,maana naelewa wataunda njama kuniondoa,lakini wakati wanajiandaa kufanya hivyo nitakuwa nimevunja vunja njia zao zote za ulaji na mwisho wa siku hata akija mtu mwingine ataona kilichonitoa ktk wizara hiyo ni nini

kuliko kufanya kazi chini ya wezi na mwisho wa siku unapelekwa mahakamani kwa makosa ya hao wezi
 
Maige katika waraka wake nilisoma sehemu nanukuu! Hata Yesu alihukumiwa japokua waliomuhukumu walijua ni mwana wa Mungu! mwisho wa kunukuu. Sasa Maige anataka kutuambia yeye pia ni Yesu??? Mimi kwamtazamo wangu naona Maige ana Frustration za kuukosa uwaziri angekaa kimya tu! Achukulie mfano kwa kina Basili Mramba wanatuhuma za wizi wa hela za serikali lakini wamekaa kimya! Umechemsha baba!

Ina maana yeye alikuwa anataka kumchekesha boss tu bila kujari kesho kitampata nini? Wastage of his time to come out with press releases and publications...amechelewa imekula kwake. Atuambie kwa vitendo nini atatufanyia watanzania kitakachoonyesha yeye siyo muhusika wa wizi na ufisadi
 
Kama kweli alikuwa msafi kwanini hakuataja hao anaowaita vigago na wanyonyaji hadharani ili kujaribu kulinda nafasi yake? Ni wale wale mavuvuzela tu au anachelewa nini kutuambia majina ya vigogo wanaotafuna rasilimali zetu hata leo hii ili nguvu ya umma basi itumike?
 
................
Alisema maamuzi yake aliyokuwa akisimamia ndiyo yamemfanya yamfike yaliyotokea. Alisema akiwa wizarani alisimamia sheria na kuwapa vitalu Watanzania maskini wenye sifa na kuwaacha wazungu kama sheria ilivyoelekeza.

.........................

wapendwa,

mi natatizika hapo palipokolea wino. anasema "watanzania masikini na wenye sifa", hivi ndio akina nani hao?? au ndio wale tulioambiwa wana biashara za malori yanayoingiza dola 20,000 kwa mwezi??

najiuliza tu kwa sauti,

mbarikiwe sana wapendwa

Glory to God!
 
Maige nimemuelewa vizuri sana,kuna kitu kimoja wanajamvi tunakisahau hata wewe unapochaguliwa kuongoza sehemu na hauna budi kuongoza kutokana na maelekezo atakayokuwa anakupa.maana ya maige nini kwamba matatizo yote yaliyotokea si yeye yamesababishwa na wakubwa yeye kama yeye hawezi kuzuia matakwa ya wakubwa,ni ukweli ulio wazi kwamba viongozi wengi hawafanyi kazi kwa utashi wao au ujuzu wao.ndio maana tunaludi nyuma kimaendeleo kila kukicha.
sabuni kipande tsh 500/-?kibiriti tsh 100/-?
hapo kwenye red usitake nicheke..yani ukiambiwa kula mavi na mkubwa unayala!alichotakiwa kufanya ni kujiuzulu kama anaona wakubwa wanamlazimisha kukiuka maadili ya kazi,alitaka kuwalinda sasa he went down alone..he better go tell that to the marines..
 
Maige acha unafki sasa unajifanya ulikua unatupigania ktk nafasi yako ya uwaziri..BIG NOO...
 
Maige wacha kulia lia kama kuukosa uwazir bas ndo dunia imekuangukia. kwanza mie naona wamekupa muda mzuri wa kuweza kusimamia yale MALORI yako ili uweze ku maximize profit, ulinichosha sana maige pale wizara yko ilipotangaza kaz af certificate na diploma ukatoa post 130 huku degree post 10 sasa i fail to understand kwamba sie watu wa batchelor 2mekukosea nin mpaka uka minimise our opportunity?
Punguza kulia maige si umesha nunua jumba kifahar na malori yakutosha?
Safar njema kaka maige,i love the way lie.
 
kiasi fulani naweza kukubaliana na maige kwa sasa nko kilosa nimetoka ofisi za maliasili kwa kweli biashara ya magogo inaendeshwa na wakubwa huko serikalini na wafanyabiashara wakubwa wenye pesa na ni mtandao ambao kuuvunja ni kazi kubwa sna rejea yaliyomkuta diallo akiwa wizara ya maliasili,kwakeli nchi yetu inatafunwa na viongozi mchwa kilosa ni tajiri kwa misitu na ardhi yenye rutuba lakini ilivyochoka huwezi amini hakuna hta barabara moja ya lami.
 
Maige uwaziri ni kupokezana vijiti na kumbuka hukuzaliwa ili uwe waziri bahati ilikudondokea tuu!
Kuropoka ropoka uko kutakuponza na mwishowe watakumwakyembe.
Ni ushauri tuu nakupa
 
MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI,jaman maige inaonekana anamengi.mi nao apatiwe nafasi ya kuzikilizwa
 
Maige could be a good Finance Minister

Yes he can!
The problem with our lawmakers is that they will always never put someone to his field of professionalism. You can ask on your self what kind of business a professional Accountant is doing in our Game Reserves instead of calculating our TSHS. devalution and inflation at BOT(as Governor) or the Ministry of Finance(as Minister of Finance)??? This is a total misuse and mismanagement of Human resources!!!

Member of Parliament CV
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1439.jpg
First Name: Ezekiel
Middle Name: Magolyo
Last Name:Maige
Member Type:Constituency Member
Constituent: Msalala
Political Party: CCM
Office Location: P.O.Box 9372, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 754 779 907/+255 787 309 107
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: emaige@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 28 March 1970
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Chela Primary SchoolPrimary Education19801986PRIMARY
Arusha Secondary SchoolO-Level Education19871990SECONDARY
Shinyanga Secondary SchoolA-Level Education19911993HIGH SCHOOL
Institute of Finance Management (IFM)Advance Diploma in Accountancy19941997ADV DIPLOMA
Institute of Finance Management (IFM)Certified Public Accountant (CPA)19971998CERTIFICATE
Leicester University,(UK)MSc. ( Finance)20012004MASTERS DEGREE
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
Ministry of Natural Resources and TourismMinister2010
The Parliament of TanzaniaMember - Msalala Constituency20052015
British CouncilDirector of Finance 20012005
Ministry of Natural Resources and TourismDeputy Minister2/13/20082010
Plan International, TanzaniaFinance Manager19992001
British Petroleum (BP) (T) LTD.Accountant19971999
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position FromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - District Political Committee20052010
Chama Cha Mapinduzi, CCMYouth Member19882005
PUBLICATIONS
 
Wanajamii mi sikubalian kabisaa na Maige,anachokifanya kwa sas ni kujikosha,if he knew kuwa mafisad ndan ya wizara wana nguvu alitakiwa kuwa smart zaidi na kutumia madaraka aliyopewa vzr,kwa kujua hayo yote why anachotaka kukisema sasa hv asingekisema au angetumia mbunge mwingine kukisema bungen kuonesha ni jitihada gani waziri kanifanya kukabiliana na uozo?
Maige is not smart kabsa,CAG hamgusi? hii inaonesha ni jinsi gan mawaziri wetu wanavyeti tu vya darasan ila uelewa mdogo,kaanza kazi nov 2010 and he was the depty the same ministry inakuaje uozo wa nyuma usimguse?
Hawa ndo wanaokipaka tope chama chetu na kuonekana chama cha mafisadi,issue hapa sio chama ila ni wanatanzania ndo tatizo.Tutaendelea kuwapiga chini watumish wasiowajibika kwa maslah ya taifa
 
Back
Top Bottom