Mahusiano yanapovunjika, wanawake ndio huumia zaidi...!

I totally disagree mzazi.
Wanawake wanaweza ku-move on haraka sana kwa sababu ni wepesi ku-seek support kutoka kwa wanawake na wanaume pia (emotionally)
Wanawake wanaotegemea wenzi wao ndo wanaishia nahisi (Wa idadi gani?). Ngoja nimalizie sikukuu, keshooo tutajadiliana hili. Navuna ufuta
Siku hizi umekuwa NUNDA halisi kwa ubishi utadhani Kaunga .............
Wewe subiri tu dawa yako iko jikoni..... Wewe na huyo Kiranga wote naona mna matatizo ya macho, maana kusoma mmeshindwa hata picha kuona hamuoni.
Hebu someni tena hapa chini kwa umakini, huenda sasa mtaelewa nazungumzia jambo gani
Kwa kuangalia idadi ya watu wanaoathirika kufuatia kuvunjika kwa uhusiano kati ya mwanamke na mwanaume mtu atagundua kwamba wanawake ndiyo ambao hupatwa na athari kubwa zaidi. Kwa mfano ukichukua watu ishirini, wanawake kumi ambao wameachwa na wapenzi wao na wanaume kumi ambao nao wameachwa pia na wapenzi wao, utagundua kwamba, wakati ni wanaume watatu tu kati ya hao kumi ndio watakaosumbuliwa sana na na hali hiyo, kwa wanawake idadi itakuwa ni saba kati ya hao kumi.
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi umekuwa NUNDA halisi kwa ubishi utadhani Kaunga .............
Wewe subiri tu dawa yako iko jikoni..... Wewe na huyo Kiranga wote naona mna matatizo ya macho, maana kusoma mmeshindwa hata picha kuona hamuoni.
Hebu someni tena hapa chini kwa umakini, huenda sasa mtaelewa nazungumzia jambo gani

Hujajibu swali bado.

Wanawake gani? Au unataka tuamini kwamba wanawake wote duniani akili zao sawa?

#AfricaIsNotACountry

Maybe it's time for

#WomenAreNotMonolithic
 
Hujajibu swali bado.

Wanawake gani? Au unataka tuamini kwamba wanawake wote duniani akili zao sawa?

#AfricaIsNotACountry

Maybe it's time for

#WomenAreNotMonolithic
Nilikuwa nimesahau kwamba leo ni NANE NANE...................!
Chezea VALUU weye...................................................................LOL
 
Nilikuwa nimesahau kwamba leo ni NANE NANE...................!
Chezea VALUU weye...................................................................LOL

Muungwana kama hana jibu anasema hana jibu, kama kakosea anakiri kukosea.

Hizo habari za VALUU ni viroja vya kukimbia swali tu.
 
Muungwana kama hana jibu anasema hana jibu, kama kakosea anakiri kukosea.

Hizo habari za VALUU ni viroja vya kukimbia swali tu.
Sasa kama nimekuonyesha mpaka kwa rangi bado huelewi, sasa mie nifanye nini.................?
Huenda mwenzangu saa hizi waona dabo dabo...............................................................................LOL
 
Nilijua tu unatania bibie......................... .....LOL

mh..... sidhani mana umejieleza sana.Haya bana karibu huku kwetu ule korosho manake nasikia eti nyie watu wa huko Dar mkiona mtu ankula korosho mnamuliza kwa nini anakula huku kwetu ni kama karanga tu.
 
Sasa kama nimekuonyesha mpaka kwa rangi bado huelewi, sasa mie nifanye nini.................?
Huenda mwenzangu saa hizi waona dabo dabo...............................................................................LOL

Ulichoonyesha ni

Kwa kuangalia idadi ya watu wanaoathirika kufuatia kuvunjika kwa uhusiano kati ya mwanamke na mwanaume mtu atagundua kwamba wanawake ndiyo ambao hupatwa na athari kubwa zaidi. Kwa mfano ukichukua watu ishirini, wanawake kumi ambao wameachwa na wapenzi wao na wanaume kumi ambao nao wameachwa pia na wapenzi wao, utagundua kwamba, wakati ni wanaume watatu tu kati ya hao kumi ndio watakaosumbuliwa sana na na hali hiyo, kwa wanawake idadi itakuwa ni saba kati ya hao kumi.

Hujatueleza hawa wanawake ni wa aina gani. Hili linaumbua mawazo yako kwamba unafikiri wanawake wote ni sawa na wanafikiri sawa, kama nilivyochelea.
 
unaona eeeh,
ukishasoma alama za nyakati, au kama mtu hasomeki, kila siku unaambulia maumivu, heri uumie muda mfupi kumuacha kuliko kuumia muda mrefu kwa kuuguza donda sugu.....

naamini mapenzi ni kutake risk, na kwenye mapenzi maumivu hayakosekani... loh

upo sahihi kabisa,mi naamini kuwa bora uumie muda mfupi utasahau kuliko kuendelea kuwa na mtu anayekuumiza daily. na ukishapona kidonda unakuja gutuka kuwa hee kumbe he was a wrong choice!!!
 
Kiranga huoni?@Mtambuzi hajasema wanawake wote wanafikiri sawa,kaweka rangi hujaona.Huoni kama amesema wanawake saba kati ya kumi?Wewe unang'ang'ania amesema wote!
 
Last edited by a moderator:
I beg to differ a little bit with u Mtambuzi ..kwa maoni yangu naweza kusema yafutayo;
1. Wanaume wanaumia zaidi kuliko wanawake kwa sababu kikawaida a man is a poacher..So anapokuwa amefail kumaintain mahusiano inaumiza sana kwa sababu anajiona kama mdhaifu katika selection..Sema they are eager at looking for the heal unlike women do. Kwa hiyo wanaumia sana at the break up lakini persistence ya maumivu inakuwa haiendelei cuz watapta mbadala soon!

2.Wanawake wenye uwezo wanaumia zaidi wanapoachana na wenzi wao kwa sababu wanaona kama wanakuwa wamejitoa sana 'morally' and 'materially' kwa wenzi wao..Unlike wale wasio na uwezo ambao they consider only their moral support.
 
Last edited by a moderator:
Kiranga huoni?@Mtambuzi hajasema wanawake wote wanafikiri sawa,kaweka rangi hujaona.Huoni kama amesema wanawake saba kati ya kumi?Wewe unang'ang'ania amesema wote!

Wanawake saba kati ya kumi wa aina gani? Hii takwimu iko applicable kwa wanawake ambao hawajasoma shule kabisa wa Msanga-Kisiju na kina Christine Lagarde na Ngozi Okonjo-Iweala?

Ndiyo maana nauliza, wanawake wanaoongelewa hapa ni wa aina gani? Au anawaunganisha wanawake wote wa dunia nzima, wanaotoka katika socio-economic brackets tofauti, imani tofauti, elimu tofauti, utashi tofauti, lishe tofauti, energy consumption tofauti, access to clean water tofauti, et cetera et cetera, wote fungu lao moja?

Mradi mtu mwanamke basi woooote, hata wale ma biker chicks waliokataa kuolewa kwa makusuidi, uhusiano unapovunjika ni wao wanaumia zaidi?

Ni kweli kwamba kuna mtu anaweza kutoa a sweeping statement kama hii na bado akataka kuchukuliwa seriously?

Ili kwa probability kuwa meaningful, inabidi i specify a sample space. na unavyozidi kufanya sample space iwe general (kwa kusema "wanawake" bila kufafanua wanawake wa aina gani kwa mfano) ndivyo unavyozidi kuifanya hiyo probability isiwe na maana na kuelekea kwenye speculation zaidi.

Ili kusema "wanawake 7 kati ya 10 wa Msanga-Kisiju wanaopitia mahusiano yanayovunjika wanaumia zaidi" kazi yako itakuwa ni kufanya uchunguzi huu Msanga-Kisiju tu.

Ukisema "Wanawake 7 kati ya 10 wanaopitia mahusiano yanayovunjika wanaumia zaidi" itabidi ufanye uchunguzi dunia nzima, kwa wanawake wa aina zote, uangalie statistics zako na ndipo ukamilishe uchunguzi.

Sasa Mtambuzi kafanya uchunguzi gani dunia nzima kutuhakikishia kwamba probability yake si ya kupika kwenye kifuu tu?
 
I beg to differ a little bit with u Mtambuzi ..kwa maoni yangu naweza kusema yafutayo;
1. Wanaume wanaumia zaidi kuliko wanawake kwa sababu kikawaida a man is a poacher..So anapokuwa amefail kumaintain mahusiano inaumiza sana kwa sababu anajiona kama mdhaifu katika selection..Sema they are eager at looking for the heal unlike women do. Kwa hiyo wanaumia sana at the break up lakini persistence ya maumivu inakuwa haiendelei cuz watapta mbadala soon!

2.Wanawake wenye uwezo wanaumia zaidi wanapoachana na wenzi wao kwa sababu wanaona kama wanakuwa wamejitoa sana 'morally' and 'materially' kwa wenzi wao..Unlike wale wasio na uwezo ambao they consider only their moral support.
Mkuu inawezekana uko sahih, lakini ni vyema na wewe ukaweka takwimu zako hapa, kwamba wanatofautiana kwa asilimia ngapi..........? Kumbuka sikusema wanawake wote huumia pale uhusiano unapovunjika....!
Nimesema hivi kama kuna wanaume kumi na wanawake kumi ambao uhusiano wao umevunjika, wakati wanaume watatu kati ya kumi tu ndio watakaoumia, lakini wanawake watakuwa saba kati ya kumi ukilinganisha na wanaume..... kwa kusema hivyo nina maana kwamba wote huwa wanaumia lakini wanawake ndio huumia zaidi ukilinganisha na wanaume..............
 
Kuna Profesa mmoja wa theoretical physics akiitwa Wolfgang Pauli, ukimletea vihabari vya kuunga unga kama hivi ambavyo haviko testable ana msemo wake anakwambia "it's not even wrong".

Maana hata kuwa wrong nako inabidi uwe unafanana fanana na kupimika kidogo. Lakini habari ya kuunga unga ambayo hata kuipima huna pa kuanzia haifai hata kuitwa wrong, hence this story is just beyond the pale, not even wrong!
 
Wanawake saba kati ya kumi wa aina gani? Hii takwimu iko applicable kwa wanawake ambao hawajasoma shule kabisa wa Msanga-Kisiju na kina Christine Lagarde na Ngozi Okonjo-Iweala?

Ndiyo maana nauliza, wanawake wanaoongelewa hapa ni wa aina gani? Au anawaunganisha wanawake wote wa dunia nzima, wanaotoka katika socio-economic brackets tofauti, imani tofauti, elimu tofauti, utashi tofauti, lishe tofauti, energy consumption tofauti, access to clean water tofauti, et cetera et cetera, wote fungu lao moja?

Mradi mtu mwanamke basi woooote, hata wale ma biker chicks waliokataa kuolewa kwa makusuidi, uhusiano unapovunjika ni wao wanaumia zaidi?

Ni kweli kwamba kuna mtu anaweza kutoa a sweeping statement kama hii na bado akataka kuchukuliwa seriously?

Ili kwa probability kuwa meaningful, inabidi i specify a sample space. na unavyozidi kufanya sample space iwe general (kwa kusema "wanawake" bila kufafanua wanawake wa aina gani kwa mfano) ndivyo unavyozidi kuifanya hiyo probability isiwe na maana na kuelekea kwenye speculation zaidi.

Ili kusema "wanawake 7 kati ya 10 wa Msanga-Kisiju wanaopitia mahusiano yanayovunjika wanaumia zaidi" kazi yako itakuwa ni kufanya uchunguzi huu Msanga-Kisiju tu.

Ukisema "Wanawake 7 kati ya 10 wanaopitia mahusiano yanayovunjika wanaumia zaidi" itabidi ufanye uchunguzi dunia nzima, kwa wanawake wa aina zote, uangalie statistics zako na ndipo ukamilishe uchunguzi.

Sasa Mtambuzi kafanya uchunguzi gani dunia nzima kutuhakikishia kwamba probability yake si ya kupika kwenye kifuu tu?

National Mirror - Is heartbreak harder for men or women?

5 Reasons Why Men Handle Heart Break Worse Than Women | Celebrity News & Style for Black Women

Why He Gets Over A Breakup Faster Than You Do | The Current Conscience
 
Back
Top Bottom