Mahusiano na Wakwe/Mawifi Nini kifanyike?

Hii mada nimeisoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Kuna kitu nimepata na hakika kitakuwa msaada kwangu katika safari iliyopo mbele yangu.

Kinadada na kinamama mliopo hapa jamvini, naomba ushauri wenu. Iwapo umeolewa na mwanaume ambaye alikwishaoa hapo awali kisha akaachana na mkewe na kuacha watoto ambao wanajielewa.

Baada ya muda unasikia wakiambizana huyu mama yetu wa kambo si kama mama yetu yaan hiki na kile hatufanyii kama mama yetu. Laiti mama yetu angekuwepo angetufanyia. Ni kweli unaweza kuta walilelewa katika mazingira fulani ambayo wewe huwezi kufahamu.

Hiyo kauli pia unaisikia kwa mawifi na mashemeji, bora mke aliyeachana naye kuliko huyu.

Utafanyaje kuhusiana na hizo kauli?

Mpo wapi MwanajamiiOne, Nyamayao, bht, gfsonwin, @FP, FirstLady1, Fixed Point Pearl na wamama wengine hapa
 
Last edited by a moderator:
Mamiii, huwezi kufanana na mtu kimatendo. Na kwa watoto kamwe hautakuja kuwa bora zaidi ya mama yao. Fanya majukumu yako kwa upendo wasipokupenda watakuheshimu.

Btw ungekuwa kama yule, huyo bwana asingakuangalia mara mbili, kwa lipi hasa.
 
Aaah mie mwenzenu na ujanja wangu woote naogopa ukweni hatari! Basi nimejengwa na kukulia mazingira ya kuogopa ukweni yaani naonaga kama wananipenda kinafiki sio real! sijui nna tatizo gani!
 
charminglady,

Kama umeolewa na mwanaume mqenye watoto wakubwa... au wadogo

Wewe timiza majukumu yako kama mama....

Huwezi mridhisha kila binadamu...wakiappreciate sawa wasipoappriciate hewala...

Mradi hujawaonea na umetenda haki na wajibu kama mzazi

Kwanza huwezi chukua nafasi ya mama kwa watoto, wewe utakua ni mama wa kama na utaendekea kuwa mama wa kambo

Hao mawifi watajijuu tu mradi hujawatukana wala kuwakosea wakufananishe wasikufananisge waridhike wasiridhike, hawawezi kugeuza usiku kuwa mchana...

Be yourself maisha yenyewe mafupi haya



Hii mada nimeisoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Kuna kitu nimepata na hakika kitakuwa msaada kwangu katika safari iliyopo mbele yangu.

Kinadada na kinamama mliopo hapa jamvini, naomba ushauri wenu. Iwapo umeolewa na mwanaume ambaye alikwishaoa hapo awali kisha akaachana na mkewe na kuacha watoto ambao wanajielewa.

Baada ya muda unasikia wakiambizana huyu mama yetu wa kambo si kama mama yetu yaan hiki na kile hatufanyii kama mama yetu. Laiti mama yetu angekuwepo angetufanyia. Ni kweli unaweza kuta walilelewa katika mazingira fulani ambayo wewe huwezi kufahamu.

Hiyo kauli pia unaisikia kwa mawifi na mashemeji, bora mke aliyeachana naye kuliko huyu.

Utafanyaje kuhusiana na hizo kauli?

Mpo wapi MwanajamiiOne, Nyamayao, bht, gfsonwin, @FP, FirstLady1, Fixed Point Pearl na wamama wengine hapa
 
Last edited by a moderator:
mumie huwez kuwa mwema zaid ya ulivyo.

afu huwez kumridhisha biandamu abadan hata kama ukimlamba miguu kila iitwapo leo

najua huwez kwa makusudi kumtesa mtoto wa mumeo, lkn pia najua huwez kuwa mzembe katika malezi ya mtoto wa mumeo

lea watoto wa mumeo kwa kadiri ya uwezo wako kuwa mama kwao na sio shoga yao, hakikisha wanapata mahitajk yao ya kimaisha kama inavyotakiwa na bila upendeleo.

hayo mengine ya ulinganifu achana nao na hasa kama moyoni unajishuhudia kwamba unatenda yaliyo mema.

muda mwingine unaweza ukadhan uko mwema kumbe sio kwasabb hujui aina nyingine ya wema zaid ya ule ulioukuta umeleelwa nao, hiki ni kikwazo na ni mtihan mzito kwa walio wengi na nafkr ndipo panapoleta ulinganifu wa kati yako na mtalika wa mumeo

kuhusu mawifi na wakwe hapana utofauti manake unatakiwa utazame nafasi yako kama mkwe basi na tenda kama mkwe na si kama mtu mwingine watakulinganisha wao ila wewe usiyajali hayo tenda wema nenda zako usingoje shukurani.
Hii mada nimeisoma kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Kuna kitu nimepata na hakika kitakuwa msaada kwangu katika safari iliyopo mbele yangu.

Kinadada na kinamama mliopo hapa jamvini, naomba ushauri wenu. Iwapo umeolewa na mwanaume ambaye alikwishaoa hapo awali kisha akaachana na mkewe na kuacha watoto ambao wanajielewa.

Baada ya muda unasikia wakiambizana huyu mama yetu wa kambo si kama mama yetu yaan hiki na kile hatufanyii kama mama yetu. Laiti mama yetu angekuwepo angetufanyia. Ni kweli unaweza kuta walilelewa katika mazingira fulani ambayo wewe huwezi kufahamu.

Hiyo kauli pia unaisikia kwa mawifi na mashemeji, bora mke aliyeachana naye kuliko huyu.

Utafanyaje kuhusiana na hizo kauli?

Mpo wapi MwanajamiiOne, Nyamayao, bht, gfsonwin, @FP, FirstLady1, Fixed Point Pearl na wamama wengine hapa
 
Back
Top Bottom