bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
<br />kwa nini ukimbie ndoa bht? kitakachonitoa kwenye ndoa ni mume peke yake, maana ndoa ni maagano yangu na yeye, zaidi ya hapo hakuna cha kunitoa.
<br />
Neno hilo FP.... Koment yako ya mwanzo naizingatia sana. Its very rich!