MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #81
Jamani hiyo God Forbid yenu Geoff na Grandpa mmenifanya nicheke pamoja na hasira zangu zoote za leo.
KATIKA VITU AMBAVYO WANAWAKE HUKOSEA NA KUOONYESHA UDHAIFU MKUBWA ni kuanzisha hiyo hoja ya kutumia condoms kwenye ndoa
Hahahha kuna siku nilisikiliza Leo tena, it was last week kama sikosei. Mke ndo alianza kuugua kwa vitendo i.e. kuonyesha kuwa kaambukizwa, mume akamrudisha kwa wazazi wake kwa kejeli kibao kuwa mkewe kapata UKIMWI na hivyo wamuuguze mtoto wao yeye hamtambui tena. Mke akauguzwa na wzazi wake na kuanza kutumia ART. Baaada ya muda akapona na kupanga chumba chake. then baba alipoanzakuumwa akarudi kupiga goti kwa mke.
Ndio ubaya wa hii JF version 2.Jamani hiyo God Forbid yenu Geoff na Grandpa mmenifanya nicheke pamoja na hasira zangu zoote za leo.
GOD FORBID!
Tema mate chini kwa kuidhalilisha SAKRAMENTI TAKATIFU!
Umeungwa mkono hapa kiongozi.
Hakuna udhalilishaji na kufuru mbaya kwa SAKRAMENTI TAKATIFU YA NDOA kama kutumia kondom!
Anayebisha hapa na athubutu kupanua kinywa chake aseme MUNGU ALIKOSEA.
Halafu tutaona kama atakuwa nami, na Abraham na Isaka na Yakobo na Bikira Maria na Mfalme Suleiman mbele ya kiti cha Enzi siku hiyo ikifika.
umenena hapo jibaba!.....
mwanamume akishasikia habari ya CONDOM KUTOKA KWA MKE WAKE WA NDOA.....!HEHEHEHEHE,sijui kwakweli
hakika SIJUI KWAKWELI!
SIJUI
labda hao wanandoa hawakwenda semina msimbazi senta
Umeungwa mkono hapa kiongozi.
Hakuna udhalilishaji na kufuru mbaya kwa SAKRAMENTI TAKATIFU YA NDOA kama kutumia kondom!
Anayebisha hapa na athubutu kupanua kinywa chake aseme MUNGU ALIKOSEA.
Halafu tutaona kama atakuwa nami, na Abraham na Isaka na Yakobo na Bikira Maria na Mfalme Suleiman mbele ya kiti cha Enzi siku hiyo ikifika.
Natamani WOS anipe mbinu mbadala za kumshawishi shemeji yenu matumizi ya kondomu
WOS NITUMIE AJENDA KWENYE PM PLS ..
umenena hapo jibaba!.....
mwanamume akishasikia habari ya CONDOM KUTOKA KWA MKE WAKE WA NDOA.....!HEHEHEHEHE,sijui kwakweli
hakika SIJUI KWAKWELI!
SIJUI
labda hao wanandoa hawakwenda semina msimbazi senta
hakukosea bali binadamu ndio mnamkosea....itabidi tu iwe hivyo.
Nadhani sasa wametuelewa.
Hede hede hede!!!!
Ukichezewa hiyo kitu ujue ndio umevunja mkataba na KONDOM!!!
hehehehe!hizo semina ziliwafundisha na kutotulia kwenye ndoa zenu pia?
There are currently 27 users browsing this thread. (12 members and 15 guests)
Umenena vema.
Sasa tubu na kuikana kondom katika sakramenti takatifu ya ndoa!
Nawe utaungana nami katika ufalme wa Mungu siku hiyo ikifika!
HAPA MAMAANGU NIKUKUMBUSHE TU(kwa exiperience yako najua sina cha kukuelekeza kabisa),
1-wanaume hawako tayari kutumia kondoms kwenye ndoa zao,LABDA TU KUWE NA TATIZO NA WAMEKUWA INSTRUCTED TO DO SO
2-wanaume kuhusu ''kazi za nje''.....!well,ukweli ni kwamba THERE IS NOTHING YOU WOMEN CAN DO ABOUT IT!.....it is something INEVITABLE
3-na kama point nr 1 tajwa hapo juu ni sahihi hasa hasa tukijua nini maana ya NDOA.....na kama point nr 2 tajwa hapo juu ni sahihi hasa hasa mwanamke mwenye ndoa akiithibitisha.......!WOMEN SHOULD ADVISE MEN(remind them again and again) to condomise whenever they have sex OUTSIDE THEIR MARRIAGES.....!(naomba ieleweke kwamba SEX WATAFANYA TU,hata ukidhani hawafanyi...WAO WANAFANYA)