Mahusiano na UKIMWI.

HALAFU WAKUU,
hali haitishi kiviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiile kwa sasa!kumekuwa na mabadiliko makubwa sana
sasa hivi nchi yetu ina brainstorm kuhusu MARALIA
 
Hapa sasa!
Kwa kifupi..kuna vipengele vingi mno kwenye maambukizi ya VVU na UKIMWI hayazungumzwi wala kuwekwa kwenye programming.
Ndio maana huu mpango mpya wa 2008-2012 National Multi Sectoral Strategic Framework on HIV/AIDS imeliona hili na kuliwekea mkakati ili kuwalenga wale waliokuwa hawafikiwi - MSM/ mashoga, watumia dawa za kulevya nakadhalika kitu ambacho mikakati iliyotangulia hakuzingatia.

Sasa hivi kuna idadi kubwa sana ya MSM (Men having Sex with Men) .Tutashangaa lakini ni ukweli kuwa ni wengi kuliko tunavyodhania - wapo wenye maradaka/vyeo - wenye kuheshimika katika jamii lakini wanafuga vijana waogo wa kiume.Ni kitu nakiongea kwa kujiamini - sijaambiwa na mtu bali nimeweza kuongea na baadhi ya vijana hao kama walivyoongea na Radio Clouds jana! Mmoja wa vijana hao aliweza hata kusema kuwa ameambukizwa lakini " mwanaume" wake hajui na pia huwa ana cheat na wanaume wengine pale mwanaume wake akisafiri.

Wanandoa nadhani wako kwenye hatari zaidi ya kuambukizwa kuliko wale wasiokuwa ndani ya ndoa.Hivyo wanandoa jihadharini TUMIENI KINGA HATA KAMA MMEOANA!

WOS
Wewe vp umeolewa? unatumia kinga na mwenzi wako? Hamna haja ya watoto? Au sijui mambo haya mnayapelekaje embu tushauriane zaidi kama watu wa kwenye ndoa!
 
Ni kweli De Novo wote tuko katika risk but tukisema mtu akiamua kuwa makini na maisha yake kwa hali halisi mtu single anaweza akasimama na kujilinda tofauti na married kwani inatengemea na partner wako!! Sasa mfano hao waume ambao wanachukua mashoga wakati wake zao wako masomoni au safarini au wake wanaotoka na watu wengine aka ving'asti, mabuzi (sijui kama bado hili jina latumika) wote hao partners zao wanajiamini kuwa wako salama.

kweli kabisa MJ1;

sisi wanandoa tuko hatarini zaidi kwani tuna two sources za maambukizi... baba akienda nje au mama akienda nje [bila kuwa makini
 
Ukweli unabaki pale pale wanandoa wapo kwenye risk saaanakwa sababu zifuatazo. 1. huwezi ukasema leo tuanze kutumia condom from no where 2. Huwezi kumkimbia mwenzi wako kwa kujifanya uko bize sana na kumtosa 3. contract zetu za ndoa zimekaa vibaya maana ile ni life time (ndoa za mkataba zingekuwa nzuri sana).
Ndoa za mkataba zingeweza kupunguza kwa kiasi fulani maana ukiona mwenzio haeleweki no ku renew contract. unatega tega contract iishe tu basi.
 
Ukimwi hauangalii umeo/umeolewa, cha msingi ni kuepukana na ngono zembe na kwa wanandoa ikibidi kupima kila mwaka!
 
single ,married wote tuko katika hatari kubwa sana ya kuambukiza Ukimwi jambo moja ni uaminifu ..hakuna kundi lenye unafuu .


enzi zangu nikiwa nje nilikuwa cfanyi bila kinga hata iweje, sasa huku ndani kinga ni msamiati, wa nje wana uwezo wa kujikinga sana kuliko cc wa ndani, wao hata kama hamna uaminifu atleast mtu ushikie bango kinga.....
 
Hapa sasa!
Kwa kifupi..kuna vipengele vingi mno kwenye maambukizi ya VVU na UKIMWI hayazungumzwi wala kuwekwa kwenye programming.
Ndio maana huu mpango mpya wa 2008-2012 National Multi Sectoral Strategic Framework on HIV/AIDS imeliona hili na kuliwekea mkakati ili kuwalenga wale waliokuwa hawafikiwi - MSM/ mashoga, watumia dawa za kulevya nakadhalika kitu ambacho mikakati iliyotangulia hakuzingatia.

Sasa hivi kuna idadi kubwa sana ya MSM (Men having Sex with Men) .Tutashangaa lakini ni ukweli kuwa ni wengi kuliko tunavyodhania - wapo wenye maradaka/vyeo - wenye kuheshimika katika jamii lakini wanafuga vijana waogo wa kiume.Ni kitu nakiongea kwa kujiamini - sijaambiwa na mtu bali nimeweza kuongea na baadhi ya vijana hao kama walivyoongea na Radio Clouds jana! Mmoja wa vijana hao aliweza hata kusema kuwa ameambukizwa lakini " mwanaume" wake hajui na pia huwa ana cheat na wanaume wengine pale mwanaume wake akisafiri.

Wanandoa nadhani wako kwenye hatari zaidi ya kuambukizwa kuliko wale wasiokuwa ndani ya ndoa.Hivyo wanandoa jihadharini TUMIENI KINGA HATA KAMA MMEOANA!


hiyo kwa wanaume wengi inakuwa ngumu sana kulikubali, cjui tutafanyaje.
 
Ukweli unabaki pale pale wanandoa wapo kwenye risk saaanakwa sababu zifuatazo. 1. huwezi ukasema leo tuanze kutumia condom from no where 2. Huwezi kumkimbia mwenzi wako kwa kujifanya uko bize sana na kumtosa 3. contract zetu za ndoa zimekaa vibaya maana ile ni life time (ndoa za mkataba zingekuwa nzuri sana).
Ndoa za mkataba zingeweza kupunguza kwa kiasi fulani maana ukiona mwenzio haeleweki no ku renew contract. unatega tega contract iishe tu basi.
Aksante mess
Jamani wapendwa lengo hapa si kufanya description tu na kuondoka hapana tujadiliane ni nini cha kufanya?

mess kaanza na ndoa za mkataba- Je tunafikiri hii inawezakuwa suluhisho la UKIMWI kwenye ndoa?? Inawezekana ndoa za mkataba zikasaidia tubadili tabia zetu?
 
Ukimwi hauangalii umeo/umeolewa, cha msingi ni kuepukana na ngono zembe na kwa wanandoa ikibidi kupima kila mwaka!
Kisusi jaribu kuliangalia hili kwa mtazamo mwingine- uwezo wa mtu kuzuia asiambukizwe kupitia ngono zembe! Nani mwenye uwezo wa kucontrol hili?
 
enzi zangu nikiwa nje nilikuwa cfanyi bila kinga hata iweje, sasa huku ndani kinga ni msamiati, wa nje wana uwezo wa kujikinga sana kuliko cc wa ndani, wao hata kama hamna uaminifu atleast mtu ushikie bango kinga.....
aksante - hili ndilo walilokuwa wanajaribu kulisoundisha hawa masingles!. Ukweli ndio huo tutake tusitake.
 
Hapo chacha

hivi siku itatokea wanaume wote wakashikilia kuwa hawakutani na wife zao bila kinga- hivi sie tunawezagoma kweli??

hiyo haiwezi kutokea kwa wanaume, hao wakikaa na hawara cku mbili ya tatu hatumii tena kinga, madai wameshaaminiana kwa kupimana kwa macho...nikifikiaga hapo nachoka kabisa.
 
Ni kweli De Novo wote tuko katika risk but tukisema mtu akiamua kuwa makini na maisha yake kwa hali halisi mtu single anaweza akasimama na kujilinda tofauti na married kwani inatengemea na partner wako!! Sasa mfano hao waume ambao wanachukua mashoga wakati wake zao wako masomoni au safarini au wake wanaotoka na watu wengine aka ving'asti, mabuzi (sijui kama bado hili jina latumika) wote hao partners zao wanajiamini kuwa wako salama.

SingeLE:

  • - hao walio single watakuwa single mpaka lini?? Siku akisema anataka kuoa au kuolewa ndio siku ambayo "singleness" yake inaisha. Maamuzi ya kuingia kwenye tendo la zinaa au ndoa ndio "risks" ambayo inazungumziwa katika vita dhidi ya UKIMWI.
  • - Mwenyewe unaweza kujikinga, lakini huwezi kujua nafsi ya mwenzio ipoje, na moyo wa binadamu siku zote umebeba siri kubwa.
  • - Ukisema unampenda sanaaaa, huwezi pia kumwohofia na wengi huwa anaishia kuamini kwa kauli, kama ukitongozwa unakubali pengine hata kwa kusema "nakuonea huruma" iweje pale mtu anapokuambia "hunianmini" wakati mshakuwa pamoja kwa zaidi ya miaka miwili na haujawahi kumwona akiugua hata malaria au kikohozi?? (pagumu!!).
  • Ukishaanza kujiingiza kwenye mambo ya "kudonoana", hatari ya kuambukizwa au kuambukiza ni kubwa zaidi kwani pengine hata mazingira ya kufanya hilo tendo yanachochea kwa sana kutotumia kinga kwa mfano mkiwa mmelewa, ukiwa mbali na eneo ambalo kinga zinapatikana na tayari hamu ya kuingiliana kimwili ipo juu, au hata kama huna fedha za kupata hiyo kinga na bado unasema mwenzio unampenda na unahitaji kumtimizia haja yake ambayo pia itauridhisha mtima wako!!.
  • Pengine hata ukimtaka mwenzio kupima, na mkawa wote salama kwa muda, haimaanishi kuwa mtaendelea kuwa hivyo na kulindana, kwani kichoche kikubwa katika kutekeleza agano hilo la "kulindana" ni mapenzi ya dhati..wapo watu ambao katika kipindi cha mapenzi wakikwazana inachukua mwezi na zaidi kurejeana na hapo ndipo wakati hatari...
  • Kuna hatari pia kwa wale ambao wapo "single" ambao hawajajitambua, wanapenda starehe na mambo makuu ambayo kwa uwezo wa hali na akili zao wanaweza kujikuta wameingia katika mahusiano na watu ambao hawawezi hata kuwaelezeza "tukapime" (kwa mfano hali ya sasa ambapo mijimama inataka vijana wadogo wenye miaka chini ya 18 (Serengeti Boyz) au Mibaba inataka "vikuku"(mabinti wadogo).Sidhani kama hawa vijana wetu wanaweza kuwa na kauli kwa wale wanaowahadaa kimapenzi katika mazingira haya.
  • Wapo wale "single" kule vijijini ambapo maisha tunayoyaona na kuyasimulia mijini kwao ni kama ndoto ya kufika mbinguni, na kule ndo hizo "kondomu" au "kupima" sijui kama vipo kwenye misamiati yao..wengi wanakufa kwa kuhadaika na wale wanaotoka mjini pengine kwa kutaka kuolewa wakaishi mjini nk.
Wanandoa

- Wanandoa nao ni yale yale, kama huwezi kuiamini nafsi yako, je ya mwenzako utaiamini? na ukiamini hutachukua tahadhari..

Kwenye ndoa yeyote hakuna suala la kutoaminiana , na ukisikia wanandoa hawaaminiani ujue kuwa hiyo ndoa imefika mwisho. Kwenye hakuna "kondomu" au "Kinga dhidi ya maradhi" labda kama ni ya kuzuia "mimba tu".

Dini ya kweli hairuhusu mwanandoa kutoka nje ya ndoa yake, na kwa zile dini zinazoruhusu kwa mwanaume kuoa zaidi ya mke mmoja, ni sawa na kumwambia asiwe mwaminifu kwa mkewe katika muda fulani wa kumpata mke mpya.

Tabaka jingine:

Ukiacha matabaka hayo mawili: Pia wapo wale ambao wanapata kutkana na dhambi ya wengine (watoto, wauguzi, wale wanaohudumia waathirika hasa kule vijijini ambapo hali za maisha inakuwa ngumu kuzingatia kanuni za afya). Wapo pia wale wanaomabukizwa kutokana na matukio kama ajali na uokoaji, kubakwa nk.

Changamoto:

Kwa matedo ya zinaa, kama ambavyo sheria za dini zisivyoruhusu matumizi ya kondomu kwa maanda ya kuchochea zinaa na kupingana na amri ya 6 ya Mungu, ni vyema tukazidi kuomba Mungu ili tamaa zetu za mwili zinazotupa raha ya muda mfupi zisije kutuangusha katika mateso na majuto makuu katika maisha na kuwasababishia na wengine wasiohusika shida na maumivu hapa duniani.
 
Aksante mess
Jamani wapendwa lengo hapa si kufanya description tu na kuondoka hapana tujadiliane ni nini cha kufanya?

mess kaanza na ndoa za mkataba- Je tunafikiri hii inawezakuwa suluhisho la UKIMWI kwenye ndoa?? Inawezekana ndoa za mkataba zikasaidia tubadili tabia zetu?


mkataba wenu mtakuwa mmekubaliana kutumia kinga muda wenu wote wa ndoa kasoro pale mnapotafuta kids, hapo ndio kila kitu, haisaidii lolote, jamani turidhike na "tulionao"...onja/chovya chovya hizi zinatumaliza jamani, hakuna kitu kinauma kama wewe umejilinda/jitunza/mwaminifu kwa mwenzio lakini unaletea hii kitu ndani, inauma sana, nyie wanaume kwanza kwa kupunguza kidogo hili kama mnahic ni lazima kukidua huko nje bac mvae hayo ma plastick, na cc wamama jamani tuache tamaa tamaa, yaani bac tu.
 
sasa hivi tunaogopa sana mvua kuliko hiyo mambo!....
mvua bana dah!......
yani taaab kwel kwel
 
hapa sasa!
kwa kifupi..kuna vipengele vingi mno kwenye maambukizi ya vvu na ukimwi hayazungumzwi wala kuwekwa kwenye programming.
ndio maana huu mpango mpya wa 2008-2012 national multi sectoral strategic framework on hiv/aids imeliona hili na kuliwekea mkakati ili kuwalenga wale waliokuwa hawafikiwi - msm/ mashoga, watumia dawa za kulevya nakadhalika kitu ambacho mikakati iliyotangulia hakuzingatia.

sasa hivi kuna idadi kubwa sana ya msm (men having sex with men) .tutashangaa lakini ni ukweli kuwa ni wengi kuliko tunavyodhania - wapo wenye maradaka/vyeo - wenye kuheshimika katika jamii lakini wanafuga vijana waogo wa kiume.ni kitu nakiongea kwa kujiamini - sijaambiwa na mtu bali nimeweza kuongea na baadhi ya vijana hao kama walivyoongea na radio clouds jana! Mmoja wa vijana hao aliweza hata kusema kuwa ameambukizwa lakini " mwanaume" wake hajui na pia huwa ana cheat na wanaume wengine pale mwanaume wake akisafiri.

wanandoa nadhani wako kwenye hatari zaidi ya kuambukizwa kuliko wale wasiokuwa ndani ya ndoa.hivyo wanandoa jihadharini tumieni kinga hata kama mmeoana!

wos na imani umeolewa ningependa kujua ni njia gani unatumia na shemeji yetu hasa nikikumbuka maandiko yameandikwa sasa mmekuwa mwili mmoja...
Je ni sababu ipi imekufanya na mzee mtumie condoms
1.kujikinga na ukimwi?
2.uzazi wa mpango ama..?
Au
 
Aksante mess
Jamani wapendwa lengo hapa si kufanya description tu na kuondoka hapana tujadiliane ni nini cha kufanya?

mess kaanza na ndoa za mkataba- Je tunafikiri hii inawezakuwa suluhisho la UKIMWI kwenye ndoa?? Inawezekana ndoa za mkataba zikasaidia tubadili tabia zetu?

Ndoa ya mkataba sio suruhisho hata kidogo..swala ni kubadilli tabia tu ..ukiwa na tabia za uzinzi hata huko kwenye Contract utaendelea nayo.. Cha msingi wakati unataka kufanya kitu ni kuchukua muda kufikiria Faida/hasara zake .. Obviously hasara ni kubwa kuliko faida ..
 
hivi kuwa faithful ni ngumu ehh? hata kama kuna kifo?
ni ngumu sana mamaangu
kaa unasomaga baibo unaweza muangalia mfalme suleiman,au abraham mwenyewe au jacob.........au daudi

wenzetu hili swala waliliangalia kwa jicho la tatu wakaona ni bora kuwa pamoja na kuwa na mke,mwanamume ni lazima awe na CONCUBINE,

sasa jaribu kuangalia maisha ya miaka ile,then uone kama kuna principle tofauti na hiyo kwa karne hii ya sayansi na teknolojia
 
Back
Top Bottom