Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Nipo kikazi katika mkoa mmojawapo kaskazini ya Tanzania, kwakuwa nyumba niliyopewa kuishi ni kubwa, imenibidi nitafute msaidizi wa kazi za nyumbani.
Nimepata msichana ana wiki ya 2 sasa tangu aanze kazi lakini naona ananiingiza majaribuni!
Bahada ya kumuonyesha sehemu ya kulala, akaogopa na isitoshe akadai kuna baridi sana ni bora aje alale sebureni kwangu. Alivyolala sebureni kufika usiku akasaula nguo zote eti kuna joto sana!
Mbaya zaidi tangu majuzi nimebanwa na malaria, ndio kakomaa chumbani eti anamuuguza mgonjwa! Sasa hizo touching! unajisikiaje mara unapimwa joto la mwili kifuani, mara kwenye garden love kunapapaswa.
Huyu si anataka ukimuacha akawatangazie watu jamaa si rizki?
kama kweli huna nia nae,
fika na demu yeyote mkali hapo nyumbani, hata co-worker mwenzako.
Itamtia wivu, atajenga bifu na wewe, then t'll be over.
Sawasawa?