KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
.......
Hizi Ban nyingine ni za kujitakia zaidi....
.......
Na wewe ni nani? Unachofanya ni nini?
Nilimuuliza wepesi wake ni upi ili aweze kufanya kazi kwa ufanisi, akachagua kukaa pale pale.
Na wewe ukakubali wakati ungeweza kukataa wewe si ndo mwajiri bana unaweka terms za employment? Ona sasa balaa atakalokuletea na usije siku nyingine hapa kusema umepata ngoma ndo utalijua jiji maana mimba tu haitoshi. A real man would never live with a housekeeper alone unless he has other issues behind.
Hizi Ban nyingine ni za kujitakia zaidi....
Ebu bro pata picha kama wewe ni rijali na mtu dakika chache alikwambia anasikia baridi atupe nguo zote mpaka ch*p* live unategemea nini?
Huyo alitaka kukupa dawa ukaogopa dose. Mkuu bora lawama kuliko hasara. na siku zote maji hayaruki shimo. huyo yakupasa na wewe umuonyeshe ukidume wako au unamuogopa?.aisee! penye miti mingi hakuna wajenzi. Mia
Ushakulla wewe unazingua hapa! Ulimwona saa ngapi wakati anasaula wakati wewe ulikuwa chumbani kwako! Kama hujachungulia sebuleni uliona vipi?
sasa akilala sebuleni uchi na wewe upo chubani kwako
tatizo wapi?
au unaamka kuchhungulia?
Ni njia kupita kwenda toilet chumba changu sio master.
bahada = baada, sebureni = sebuleni, rizki = riziki.
Acha tamaa za kijinga, kama unauguzwa chukulia unauguzwa. Au fanya mchezo na wewe uozeshwe kama mwenzako ndo utajua akili yako ilipo.