Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,488
Wanasahau Kesho inaweza ikatokea kwao.Kuna kitu hakijakaa sawa kichwani mwa Watanzania na sijui nani atakiweka sawa. Kushangilia au kufurahia kifo cha binadamu mwenzako!!!! hata kama amekutendea ubaya kwa namna gani lakini katika kuondoka duniani inatakiwa tusikitike yawezekana angeweza kukomba mshamaha na mkamalizana. Lakini pia bila kujali ni askari, mwandishi wa habari, mwanachama wa chama cha upinzani au tawala wote ni binadam mauaji kwa namna yoyote ile yakemewe na kulaaniwa na mpenda haki yeyote. Eee MUNGU tuepushie uchuro huu.