Mahanga kaanza je ndiyo mwanzo wa ukweli kujulikana zaidi?

Atakimbilia kufuta kesi kwa madai kuwa haina manufaa kwa Taifa, si ndiyo zao maji yakiwafika shingoni. Wanabeep wakipigiwa wanazima simu

Watu wa Chama cha mafisadi ndio zao hizo kubeep; halafu wakiona mambo yanapamba moto wanaretreat. Londa na Makamba waliposhushiwa zigo la ufisadi walioufanya wilaya ya Kinondoni na Halima Mdee walikuwa mbogo, lakini baada ya kuoneshwa vielelezo alivyokuwa navyo yule binti , hawa mafisadi ilibidi wakunje mikia na waichomoe kesi pale bungeni!! Nadhani huyu fisadi Mahanga ni wa design hiyo hiyo, mambo yatakapokuwa moto ataichomoa!
 
Well let me pose and try to think how to put it right! Nisijechanganya hisia na realitieas for I declare interest in those PhDs populary known as "fake"

Umesema vyema "watanzania tunakurupuka" For even you there kwenye statements zako umekurupuka; Europe wanatoa masters za mwaka mmoja? Kama academician how true is that statement of yours? Hii tabia ya ku generalise issues ni tatizo la watu wengi na ndipo ukurupukaji wetu unapotokea, hatu read between the lines na tunapo analyse issues hatuwi specific.

La pili hili la fake au not siwezi kuliongelea in specificity ila nitatoa general observation kwamba even kwenye academics kuna politics na mwisho wasiku PhDs zinakuwa kama vile zote ni sawa (Lakini ....mh Wale waliobahatika kupita huko wataelewa na maanisha nini I think ngarambe walizozipata watu, mtu anaweza piga risasi mwenzake anaejaribu ku forge au kujidai anayo) zile differences zinabakia kwa individuals' excellence ni jinsi gani anavyoweza ku akisi uhalisia wa cheti na jinsi ya ku articulate issues; transfering knowledge into realities.

Personely ningependa watu wote wasome kwa malengo ya kuelimika na si kupata cheti kwa lengo la promotions, fame or prestige. Nashukuru as a country tumeliona nakuanzisha taasisi ya TCU otherwise tusipokua makini hata ile value for education itapotea.

nimekupata ndugu, ushauri mzuri, asante pia kufafanua kuwa Europe hamna masters za mwaka mmoja, nilipitiwa ndugu!

Pili nashukuru kuweka sawa maada, japo sijaona ushauri nini serikali wafanye
 
Well said, kufoji ni rahisi kama wale walio na genuine degrees,they are doing nothing. Government inatakiwa iweke sheria na standard zikiwa violated then we should sue them, tena haitasubiri Msemakweli



Whats wrong with distance edu?? kipindi cha winter huku ughaibuni, kuna wakati hamwezi kwenda class mnamwona teacher through computer etc.





Again the question is,tuna sheria inayozuia hivyo? distance learning haina tatizo lolote na dunia tunayoenda ni ya distance learning mkuu(usiniaibishe)

Pili unaweza kusoma PhD bila masters, it depends how you did in your undergraduate.(Professor Mwandosya ni mmoja wapo)

Mbona hamsemi kuwa ana CPA, wangapi wenye CPA nchi hii, navyo ni feki?

My argument ni kuwa

1. Serikali iweke utaratibu na standard za kuwatambua hawa wenye hizi PhD holder they should conduct examinations(oral, written etc are sufficient) n.k. UDSM wana utaratibu huu

2. Serikai iweke utaratibu wa kuwasajili, na kuwa track kila mwaka wanafanya nini? wanaandika papers, vitabu, consultancy n.k. By doing so watawastimulate hawa wasomi wawe wanaangahika. Ikifikia kipindi watu wakajua ukifoji PhD tanzania you are in big trouble.Ujinga huu usingekuwepo

3. Tutambue kuwa haya matatizo ya kuwa na mavyeti mengi na siyo competency ni failure ya serikali yetu, elimu yetu haiwapi watu uwezo wa kufkiri, kujiajiri, kuwa creative. Most of us we preferto be employed. Ukienda huko unaonyesha vyeti vizuri vizuri basi

4. Tukitambua haya matatizo, tutawaokoa wengi siyo akina Mahanga ,kati ya watanzania milioni 40, unafikiri ni mahanga tu? maana upanga huu tunaoutumia tu-utumie kama ni rungu kwa watanzania wengineo wote.

Tukisema tu kafoji, sijui nini, we are not solving problem

Mkuu usipindishe hoja no one says it's wrong kufanya distance edu. But from my understanding distance learning takes more yrs on the same course compared to class attending. Hebu tafadhali nitajie walau chuo kimoja Europe kinachotambulika na nchi husika kinachotoa masters au PhD ya distance learning kwa mwaka mmoja.

Halafu ni just for the food of thoughts hizi diploma mills zinatarget watu gani????
 
jamani kuna tofauti ya kutosoma Degree na kufoji Degree.

Sasa MsemaKweli kasema Makongoro Hakusoma PhD na wala hakusema kuwa kafoji PhD.

Sasa ni wakati wa Mahanga ku prove kama amesoma pamoja na kuleta vielelezo vyake vyote kuonyesha kuwa amepata hiyo PhD.

Watetee kisomi tu hapo kwa kuweka publication zao pamoja na copy za thesis zao ili waunyamazishe umma.
 
Ukificha ugonjwa kifo kitakusema. Ni hatari sana kuacha viongozi washirikiane na diploma mills kukebehi taifa.

Kwa wale wasiojua vizuri diploma mills zinavyokosa aibu, naomba waangalie hii moja hapa chini:

http://www.alumnaservices.co.uk/

Ona wanasema wanaweza kukupa cheti cha kuonyesha una digrii unayotaka siku 10 tu baada ya kujiandikisha. Wanasema hakuna kusoma, hakuna mitihani.

 
Ukificha ugonjwa kifo kitakusema. Ni hatari sana kuacha viongozi washirikiane na diploma mills kukebehi taifa.

Kwa wale wasiojua vizuri diploma mills zinavyokosa aibu, naomba waangalie hii moja hapa chini:

http://www.alumnaservices.co.uk/

Ona wanasema wanaweza kukupa cheti cha kuonyesha una digrii unayotaka siku 10 tu baada ya kujiandikisha. Wanasema hakuna kusoma, hakuna mitihani.

Safi sana mkuu Moshi at least some pple will understand wht does this all mean ni aibu na inatia kichefuchefu kwa kiongozi kustand out from the crowd boasting you have a PhD of ths sort.

And well these diploma mills did flourish much just in alignment with the internet age. The information age. In my strong personal opinion anyone going for these sort of degrees ni limbukeni, uelewa mdogo na pia hopeless oppurtunist. Do I deserve a leader of that kind????????
 
35larkh.gif



  • No Studying!
  • No Examinations!
  • No Classes!
  • No Waiting!
  • No Enormous Fees!
  • 100% Legal Loophole!
  • Verifiable Qualifications!
  • Discretion Assured


Waberoya:

Well kwa sababu hakuna standard duration na nnadhani hata cost ya kupata PhD basi the one advertized above haina noma????




Jamaa wanajihami hapa!!!!!!

No Diploma Mills - GUARANTEED
We do NOT supply degrees issued by any of the 'well known'
life experience 'Universities' that advertise on the internet.
When you receive your degree and search for the name of the issuing University, we guarantee it will not appear on any list of 'diploma mills'. This is an obvious benefit, as any employer searching for the name of your University will find only the University's own website and not adverts offering degrees for money!
You can imagine how embarrassing for you it would be otherwise.
 
nimekupata ndugu, ushauri mzuri, asante pia kufafanua kuwa Europe hamna masters za mwaka mmoja, nilipitiwa ndugu!

Pili nashukuru kuweka sawa maada, japo sijaona ushauri nini serikali wafanye
ulaya hasa Uingereza MASTERS ni mwaka mmoja tu, ila Distance Learning hadi miaka 10 tizama MBA kwenye OPEN UNIVERSITY hiki ni katika vyuo makini duniani.www.open.ac.uk
 
Mahanga ni kweli amesoma chuo ambacho hakitambuliwi. Vyuo vya muundo huu viko vingi sana,hata kama mtu unataka degree within two weeks unapata. Kama huamini niambie nikutumie link uone.

Kama mtindo huu utaacha uendelee itakuwa ni hatari kwani wengine ni wahadhiri wa vyuo vikuu, wengine ni mawaziri wanatuongozea nchi,wengine ni watunga sheria wetu nk.
 
Mkuu usipindishe hoja no one says it's wrong kufanya distance edu. But from my understanding distance learning takes more yrs on the same course compared to class attending. Hebu tafadhali nitajie walau chuo kimoja Europe kinachotambulika na nchi husika kinachotoa masters au PhD ya distance learning kwa mwaka mmoja.

Halafu ni just for the food of thoughts hizi diploma mills zinatarget watu gani????

Safi sana mkuu Moshi at least some pple will understand wht does this all mean ni aibu na inatia kichefuchefu kwa kiongozi kustand out from the crowd boasting you have a PhD of ths sort.

And well these diploma mills did flourish much just in alignment with the internet age. The information age. In my strong personal opinion anyone going for these sort of degrees ni limbukeni, uelewa mdogo na pia hopeless oppurtunist. Do I deserve a leader of that kind????????

35larkh.gif




  • No Studying!
  • No Examinations!
  • No Classes!
  • No Waiting!
  • No Enormous Fees!
  • 100% Legal Loophole!
  • Verifiable Qualifications!
  • Discretion Assured


Waberoya:

Well kwa sababu hakuna standard duration na nnadhani hata cost ya kupata PhD basi the one advertized above haina noma????




Jamaa wanajihami hapa!!!!!!

No Diploma Mills - GUARANTEED
We do NOT supply degrees issued by any of the 'well known'
life experience 'Universities' that advertise on the internet.
When you receive your degree and search for the name of the issuing University, we guarantee it will not appear on any list of 'diploma mills'. This is an obvious benefit, as any employer searching for the name of your University will find only the University's own website and not adverts offering degrees for money!
You can imagine how embarrassing for you it would be otherwise.

ulaya hasa Uingereza MASTERS ni mwaka mmoja tu, ila Distance Learning hadi miaka 10 tizama MBA kwenye OPEN UNIVERSITY hiki ni katika vyuo makini duniani.www.open.ac.uk

WAHESHIMIWA HAPO JUU NAONA WOTE MKO SAHIHI, SWALA LANGU NI JE HUYU MAHANGA TUTAMUHUKUMU KWA SHERIA IPI HAPA TANZANIA, KAMA HAKUNA SHERIA INAYOHUSU HAO MAMBO JE TUFANYE NINI SASA, MAANA IKIWA TUNAJADILI HAWA WATU KILA SIKU, NA WENGINE WANAZALIWA KESHO, BASI THREAD ZOTE HUMU ZITAKUWA ZINATAJA MAJINA YA WATU.

Distance learning nazo zimetofautiana, inategemea na programme, lakini kwa dunia ya sasa lolote lile linawezekana inategema na shida yako wewe.

Nimejaribu kuongelea mifumo ya inayosababisha hili tatizo naona wote, mmejaa upande wa aidha kupinga au kubisha, ila sio kutatua tatizo.

mliopost distance learning mwanzoni, mmebadilika na kusema iti will take more years, ili tumbane huyu Mahanga lazima tuwe pia na vithibitisho, vipi kuhusu shule za 'self pacing' but yet are distance learning

Akienda mahakamani na akasema nimesoma distance learning by self pacing, so time does not matter tutamfanya nini??

Hawa watu wan vyeti vizuri na wananyima nafasi za wale walio na vyeti halali, lakini still badala ya kuendelea kugombana na kubishana, tunaishauri nini serikali??

maana ugonjwa huu hupo, utakuwepo na sio kwa viongozi tu, uko kwa wengi.May be I can only be sure na sisi walimu wa UDSM kuwa jamaa wako makini, mzumbe mlisikia wenyewe

Hapo juu sijaona ushauri bado , na this is a chance for great thinkers,focus, focus on solution

HAO TUNAOWAITA MALIMBUKENI KWA KUSOMA HIZI DEGREES, NDIYO WANAOTANUA KATIKA HII DUNIA, I just need solution to get rid of them!
 
Kama mtindo huu utaacha uendelee itakuwa ni hatari kwani wengine ni wahadhiri wa vyuo vikuu, wengine ni mawaziri wanatuongozea nchi,wengine ni watunga sheria wetu nk.

Siyo UDSM baba! labda vyuo vingine!
 
Back
Top Bottom