Mahanga kaanza je ndiyo mwanzo wa ukweli kujulikana zaidi?

kwani TCU si wapo, basi wapelekewe vyeti wavihakiki tujue ukweli ni upi na uongo ni upi, kama vihiyo wasiambiwe, waende darasani ndio wajue kuwa sio za kufoji, watu wanazisotea hadi wanataka kuwa machizi, unafikiri elimu ni mzaha mzaha tu
 
nampongeza sana ndg msemakweli kwa ujasiri alioonyesha, ni kweli "waheshimiwa" wote waliotajwa na Msemakweli na wanamiliki vyeti feki vya taaluma. Nawajua vizuri Mahanga na Lukuvi, mahanga hana phd ila ana utitiri wa vyeti vya kuungaunga. Lukuvi ndiyo kihiyo wa kutupa bora kidogo mahanga ambaye ana CPA na CSP za ukweli na amewahi kusoma nyegezi, Lukuvi ni mhitimu wa darasa la saba na ualimu daraja la III. Hajawahi kuingia tena chumba chochote kinachoitwa darasa baada ya ualimu wa UPE. Urusi alikwenda kwa kozi fupi ya propaganda akitokea chipukizi ni kozi ambayo haikuwa na hadhi ya diploma ni kama aliyofanya Lyatonga Bulgaria. Nimeshituka sana kusikia eti ana shahada aliyoipata USA, huyu ni mwongo mkubwa.
 
Nyambala kauliza swali la msingi: feki ya kiswahili inahusu kitu kisichokuwa na ubora unaotakiwa. Tunaposema vitu vingi toka China ni feki tuna maana havifikii viwango vinavyotarajiwa.

Makongoro asali mambo yasifike mahakamani. Maana itabidi yeye approve kwamba ana PhD na sio tu kwamba ana cheti cha PhD. The accused is not required to prove his innocence. It is enough for him to prevent the accuser from proving him guilty. Halitakuwa jukumu la Msemakweli kuthibitisha kwamba Makongoro hana PhD. Ni Makongoro ndiye atahitajika kuthibitisha ana PhD.

Wakili wa Msemakweli atamtaka Makongoro azungumzie courses alizochukua, mitihani aliyofanya, thesis supervisors, thesis defence n.k. Yote hayo yatamuumbua Mheshimiwa Mbunge. Hatayaweza!

Nilivyosoma mada nimeona Msemakweli kasema Makongoro hakusoma PhD. Hakusema Makongoro kafoji cheti.

Ukiwa na cheti kinasema una PhD basi unayo kweli PhD? Kama ukipata daktari ambaye kwa malipo anakuandikia death certificate basi unakuwa umekufa?

Mimi naona Makongoro hatathubutu kufika mahakamani kujadili PhD yake. Anatarajia mambo yatakwisha kabla ya kufikia huko.
 
Unajua msingi mmoja muhimu jamani : tusiamini kila tunachoambiwa hadi tupate ushahidi .kwa hiyo mahanga asihukumiwe sasa na hawa jamaa wanaosema ana vyeti fake kazi kwao kuthibitsha.. kwenye maisha dont believe whatever you are being told, search for facts..usiamini kila jambo unaloambiwa,thibitisha.

Amini kama kuna faida kufanya hivyo. Kama ni mtu wa umma basi ina faida kwa umma kuamini kua vyeti vyake vina mushkeli ili athibitishe ukweli.
Hao Nipashe atajuana nao yeye.
 
I think Mahanga (and the rest) would be better off to just keep their mouths closed. This is because muajiri wao, Raisi Kikwete, hajasema neno na inasemekana alikuwa anajua haya(according to someone's post above) Vilevile, TCU wala serikali haijaja mbele na kutamka rasmi kwamba "vyeti vya vyuo vya viwanda" (Diploma mills) vinakubalika au havikubaliki Tanzania kama vinaweza kutumika kupatia promotion, kupatia ofisi, etc.

Let us check on some info available to the public online:

Diploma Mill: [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Diploma_mill[/ame]

Unaccredited institutions (as mentioned above): [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_unaccredited_institutions_of_higher_learning[/ame]

Bunge CV page for "Dr." Mahanga: http://www.parliament.go.tz/bunge/mpcv.php?vpkey=134

Under "Education" "Dr." Mahanga has this institution, Washington International University, where he "earned" his PHD. Fair enough, but this institution appears on the list above as a diploma mill. Check this out: [ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Washington_International_University[/ame]

I am not sure what the good "Dr." is suing for - maybe that 3 billion TZ shillings will go towards getting real PHD! The schmuck!!
 
Makongoro asali mambo yasifike mahakamani. Maana itabidi yeye approve kwamba ana PhD na sio tu kwamba ana cheti cha PhD. The accused is not required to prove his innocence. It is enough for him to prevent the accuser from proving him guilty. Halitakuwa jukumu la Msemakweli kuthibitisha kwamba Makongoro hana PhD. Ni Makongoro ndiye atahitajika kuthibitisha ana PhD.

Wakili wa Msemakweli atamtaka Makongoro azungumzie courses alizochukua, mitihani aliyofanya, thesis supervisors, thesis defence n.k. Yote hayo yatamuumbua Mheshimiwa Mbunge. Hatayaweza!

Nilivyosoma mada nimeona Msemakweli kasema Makongoro hakusoma PhD. Hakusema Makongoro kafoji cheti.

Mkuu uko vizuri hapo!
 
Naona maada hii watanzania tunakurupuka nayo sana.

Hivi nikisoma PhD ya miezi sita, siyo PhD? nani aliweka standard duniani kuwa Phd lazima iwe miaka minne?

Na tanzania je kuna sheria inayowazuia watu wasitambulike wakiwa na PhD za namna hiyo?

Kwa misingi hiyo msemakweli atakuwa yuko kwenye wakati mgumu sana, unless sheria ya nchi iko upande wake.

Mzumbe siyo accredited university in Tanzania yet employers have no doubt to employ them.

Hajakurupuka huyu mtu, tulishashema hapa, je tuna standard yetu ya Tanzania.

Hapa Canada nafanya masters kwa miaka 2 na nusu,Europe mtu anachukua same masters mwaka mmoja, France ndiyo unapata kwa miezi nane tu!

PhD kwa mfano Canada inaweza kukupelekesha miaka mpaka sita,wakati Japan unaweza kupata PhD kwa miaka miwili

Where is our standard?
 
kuna tofauti kati ya kuwa na shahada feki na kuwa na shahada kutoka chuo ambacho hakitambuliki na vyuo vingine,nionavyo mimi msingi wa mashtaka ya mahanga amesimamia kwamba msemakweli na waandishi wanasema anashahada feki,wakati si kweli,yeye inawezekana ana shahada kutoka chuo kisichotambulika na taasisi kadhaa,lakini alikisomea na alikipata kihalali kutoka chuo hicho,shahada feki ni ile labda mtu anasema ana shahada ya chuo fulani kumbe hata kusoma hapo hajawahi,ila aliipata kwa mazabe tu hiyo shahada,kwa mtindo huu,usishangae mahanga nashinda kesi,yeye anashahada kaipata chuoni halali,ila shida ipo kwenye uhalali wa hicho chuo.
ni mtazamo tu.
 
Naona maada hii watanzania tunakurupuka nayo sana.

Hivi nikisoma PhD ya miezi sita, siyo PhD? nani aliweka standard duniani kuwa Phd lazima iwe miaka minne?

Na tanzania je kuna sheria inayowazuia watu wasitambulike wakiwa na PhD za namna hiyo?

Kwa misingi hiyo msemakweli atakuwa yuko kwenye wakati mgumu sana, unless sheria ya nchi iko upande wake.

Mzumbe siyo accredited university in Tanzania yet employers have no doubt to employ them.

Hajakurupuka huyu mtu, tulishashema hapa, je tuna standard yetu ya Tanzania.

Hapa Canada nafanya masters kwa miaka 2 na nusu,Europe mtu anachukua same masters mwaka mmoja, France ndiyo unapata kwa miezi nane tu!

PhD kwa mfano Canada inaweza kukupelekesha miaka mpaka sita,wakati Japan unaweza kupata PhD kwa miaka miwili

Where is our standard?

You have your point about varying times to obtain different academic qualifications.By which most can be achieved by speeding up processes resulted by outstanding abilities of individuals,what the heck there are 16yr old buddies with multiple degrees.

what i hate about these glorified politicians is they assume PhD's to be their step stone to glory instead of a true academic achievement obtained through a real mastery of ones academic ability.Hence even a lot of Real PhD's are also fake in nature due to the fact that holders are just as empty headed academically but could sustain pressures to get a PhD not for academic glory but a political one.No wonder tuna ma-PhD's kibao hawaandiki paper miaka nenda rudi.since getting a PhD was enough for them.

coming back to this Mahanga boy,its very clear that the guys is a fluke,a total disgrace to academicians,be it in TZ or world wide.Studying a PhD in a fake university loudly speaks of his intentions.if he were truly interested with education he would save himself all this barrage and enrolled himself in a true university.

its like finding a guy wearing a fake Rolex and upon being told he comes out with cliches like "prove that i don't have a watch"!Bullshit!You do have a watch but it's fake,a knockoff.Sub-standard.you can fool few who have no idea about Rolex watches but not ones who are familiar with them.

sasa huyu bwana alll he is doing is try fooling us with his fake PhD while forgetting the fact that some of us understand that his PhD is fake,substandard and irrelevant to the academic world.

Mahanga,Sue all you want,BUT your PhD if obtained from that Washington Mill is ass good as a made in China Ferrari...,Fake!
 
Naona maada hii watanzania tunakurupuka nayo sana.

Hivi nikisoma PhD ya miezi sita, siyo PhD? nani aliweka standard duniani kuwa Phd lazima iwe miaka minne?

Na tanzania je kuna sheria inayowazuia watu wasitambulike wakiwa na PhD za namna hiyo?

Kwa misingi hiyo msemakweli atakuwa yuko kwenye wakati mgumu sana, unless sheria ya nchi iko upande wake.

Mzumbe siyo accredited university in Tanzania yet employers have no doubt to employ them.

Hajakurupuka huyu mtu, tulishashema hapa, je tuna standard yetu ya Tanzania.

Hapa Canada nafanya masters kwa miaka 2 na nusu,Europe mtu anachukua same masters mwaka mmoja, France ndiyo unapata kwa miezi nane tu!

PhD kwa mfano Canada inaweza kukupelekesha miaka mpaka sita,wakati Japan unaweza kupata PhD kwa miaka miwili

Where is our standard?

Hizo masters unazosema miezi nane au mwaka ni lazima ukae klass mkuu. Hawa akina Mahanga hawajakaa darasani. Wamefanya diatance edu. Na ishu hapa si standard ya muda. Ila ufupi wa muda unatupa tu muongozo wa kuwa na mashaka. It is the same ukasoma PhD miaka kumi au ishirini lazima mtu yeyote utakayemuambia atakuwa na mashaka as to what really happened.


Lakini all in all tukiwa a bit specific as for this case hata mimi naungana na msemakweli PhD ya Mahanga ni FEKI (feki ya kiswahili pls).
 
we utasomaje pHD huna publication hata moja?(Hujaandika kijitabu hata kimoja) halafu unadai una phd? vyuo feki kibao, tena kwa kiongozi kama yeye bora amejitokeza ndo achambukliwe vyema, ukada wa chama umewabeba wengi sana, waliona wengi ni vihiyo so wao wakakimbilia kugushi vyeti/ kuiba/kununua ili wawe juu ya wenzao na waogopwe, si unajua ukisikia , Prof watu wanakuona upo juu hata kukuhoji/kukuchalenge wanafikiria x2. hiyo era imepita jameni hata uwe na phd saba utafuatwa na class 7 na atakuchalenge hii ndo tz ya siku hizi
 
mh Mahanga mara nyingi kauli anazotoa huwa zinasibitisha kuwa elimu yake ya utata, haikuwa hata na sababu ya kufanya uchunguzi wa kina kugundua hilo
 
Naona maada hii watanzania tunakurupuka nayo sana.

Hivi nikisoma PhD ya miezi sita, siyo PhD? nani aliweka standard duniani kuwa Phd lazima iwe miaka minne?

sisi wa TZ hatuzitambui hizo PHD za miezi 2 kama za kina Mahanga. kwa hiyo akiwa ndani ya mipaka ya TZ ajiite Mr. Mahanga hapo tutaelewana
 
Nyambala kauliza swali la msingi: feki ya kiswahili inahusu kitu kisichokuwa na ubora unaotakiwa. Tunaposema vitu vingi toka China ni feki tuna maana havifikii viwango vinavyotarajiwa.

Makongoro asali mambo yasifike mahakamani. Maana itabidi yeye approve kwamba ana PhD na sio tu kwamba ana cheti cha PhD. The accused is not required to prove his innocence. It is enough for him to prevent the accuser from proving him guilty. Halitakuwa jukumu la Msemakweli kuthibitisha kwamba Makongoro hana PhD. Ni Makongoro ndiye atahitajika kuthibitisha ana PhD.

Wakili wa Msemakweli atamtaka Makongoro azungumzie courses alizochukua, mitihani aliyofanya, thesis supervisors, thesis defence n.k. Yote hayo yatamuumbua Mheshimiwa Mbunge. Hatayaweza!

Nilivyosoma mada nimeona Msemakweli kasema Makongoro hakusoma PhD. Hakusema Makongoro kafoji cheti.

Ukiwa na cheti kinasema una PhD basi unayo kweli PhD? Kama ukipata daktari ambaye kwa malipo anakuandikia death certificate basi unakuwa umekufa?

Mimi naona Makongoro hatathubutu kufika mahakamani kujadili PhD yake. Anatarajia mambo yatakwisha kabla ya kufikia huko.
jamani kuna tofauti ya kutosoma Degree na kufoji Degree.

Sasa MsemaKweli kasema Makongoro Hakusoma PhD na wala hakusema kuwa kafoji PhD.

Sasa ni wakati wa Mahanga ku prove kama amesoma pamoja na kuleta vielelezo vyake vyote kuonyesha kuwa amepata hiyo PhD.
 
Tatizo hapo sio Ph.D yake kuwa fake bali kuipata chuo ambacho hakitambuliwa na institutions mbalimbali za elimu.

Toka mwanzoni nilishangaa hiyo confidence ya Msemakweli kwamba hao wana degree fake.

Labda ana ushahidi zaidi ya ule ambao wengi wetu tumeujadili hapa mara nyingi.

Hata Mahanga naona kang'ang'ania hapo hapo pa kuwa na degree fake.

Wizara ya elimu inatakiwa waingilie kati na kutoa mwongozo juu ya vyeti vya elimu ili kama chuo hakitambuliwi na wizara ya elimu ya TZ, iwe ni maruku kutumia title au cheti hicho nchini TZ.

KAMA HAKITAMBULIWI HAPA NCHINI KWETU INA MAANA NI FEKI NA ANAFANYA KWA KUTUMIA QUALIFICATIONS ZISIZO SAWA KWA MUJIBU WA NCHI YETU

Nitashangaa Nchimbi naye akija juu manake masters na phd zake zote za distance learning/online na kazipata ndani ya miaka minne. Kwa walioenda shule wanajua ugumu wa mambo hayo. Na kama kweli wooote wanaamini vyeti vyao waturushie kwa mtandao visiwe kama vya A.Lyatonga
 
Well said, kufoji ni rahisi kama wale walio na genuine degrees,they are doing nothing. Government inatakiwa iweke sheria na standard zikiwa violated then we should sue them, tena haitasubiri Msemakweli

Hizo masters unazosema miezi nane au mwaka ni lazima ukae klass mkuu. Hawa akina Mahanga hawajakaa darasani. Wamefanya diatance edu. Na ishu hapa si standard ya muda. Ila ufupi wa muda unatupa tu muongozo wa kuwa na mashaka. It is the same ukasoma PhD miaka kumi au ishirini lazima mtu yeyote utakayemuambia atakuwa na mashaka as to what really happened.


Lakini all in all tukiwa a bit specific as for this case hata mimi naungana na msemakweli PhD ya Mahanga ni FEKI (feki ya kiswahili pls).

Whats wrong with distance edu?? kipindi cha winter huku ughaibuni, kuna wakati hamwezi kwenda class mnamwona teacher through computer etc.



KAMA HAKITAMBULIWI HAPA NCHINI KWETU INA MAANA NI FEKI NA ANAFANYA KWA KUTUMIA QUALIFICATIONS ZISIZO SAWA KWA MUJIBU WA NCHI YETU

Nitashangaa Nchimbi naye akija juu manake masters na phd zake zote za distance learning/online na kazipata ndani ya miaka minne. Kwa walioenda shule wanajua ugumu wa mambo hayo. Na kama kweli wooote wanaamini vyeti vyao waturushie kwa mtandao visiwe kama vya A.Lyatonga

Again the question is,tuna sheria inayozuia hivyo? distance learning haina tatizo lolote na dunia tunayoenda ni ya distance learning mkuu(usiniaibishe)

Pili unaweza kusoma PhD bila masters, it depends how you did in your undergraduate.(Professor Mwandosya ni mmoja wapo)

Mbona hamsemi kuwa ana CPA, wangapi wenye CPA nchi hii, navyo ni feki?

My argument ni kuwa

1. Serikali iweke utaratibu na standard za kuwatambua hawa wenye hizi PhD holder they should conduct examinations(oral, written etc are sufficient) n.k. UDSM wana utaratibu huu

2. Serikai iweke utaratibu wa kuwasajili, na kuwa track kila mwaka wanafanya nini? wanaandika papers, vitabu, consultancy n.k. By doing so watawastimulate hawa wasomi wawe wanaangahika. Ikifikia kipindi watu wakajua ukifoji PhD tanzania you are in big trouble.Ujinga huu usingekuwepo

3. Tutambue kuwa haya matatizo ya kuwa na mavyeti mengi na siyo competency ni failure ya serikali yetu, elimu yetu haiwapi watu uwezo wa kufkiri, kujiajiri, kuwa creative. Most of us we preferto be employed. Ukienda huko unaonyesha vyeti vizuri vizuri basi

4. Tukitambua haya matatizo, tutawaokoa wengi siyo akina Mahanga ,kati ya watanzania milioni 40, unafikiri ni mahanga tu? maana upanga huu tunaoutumia tu-utumie kama ni rungu kwa watanzania wengineo wote.

Tukisema tu kafoji, sijui nini, we are not solving problem
 
Pengine kitabu hichi hapa chini ni PhD Thesis ya Dr Makongoro


Urban Housing and Poverty Alleviation in Tanzania

Milton Makongoro Mahanga

This study is based on research carried out in planned and unplanned areas of Yombo Vituka, Dar es Salaam. It argues that adequate housing for the urban poor is a source of income generation and therefore a means of improving livelihoods. It reiterates that there is willingness and ability amongst the urban poor to contribute towards social service delivery and housing conditions; but that land allocation systems and poor people's access to credit remain a major constraint. The author is a renowned academic in Tanzania and the Member of Parliament for Ukonga Constituency in Dar es Salaam.

ISBN 9789976603439 | 260 pages | 229 x 152 mm | 2002 | Dar es Salaam University Press, Tanzania | Paperback

Source: http://www.africanbookscollective.com/books/urban-housing-and-poverty-alleviation-in-tanzania
 
Naona maada hii watanzania tunakurupuka nayo sana.

Hivi nikisoma PhD ya miezi sita, siyo PhD? nani aliweka standard duniani kuwa Phd lazima iwe miaka minne?

Na tanzania je kuna sheria inayowazuia watu wasitambulike wakiwa na PhD za namna hiyo?

Kwa misingi hiyo msemakweli atakuwa yuko kwenye wakati mgumu sana, unless sheria ya nchi iko upande wake.

Mzumbe siyo accredited university in Tanzania yet employers have no doubt to employ them.

Hajakurupuka huyu mtu, tulishashema hapa, je tuna standard yetu ya Tanzania.

Hapa Canada nafanya masters kwa miaka 2 na nusu,Europe mtu anachukua same masters mwaka mmoja, France ndiyo unapata kwa miezi nane tu!

PhD kwa mfano Canada inaweza kukupelekesha miaka mpaka sita,wakati Japan unaweza kupata PhD kwa miaka miwili

Where is our standard?

Well let me pose and try to think how to put it right! Nisijechanganya hisia na realitieas for I declare interest in those PhDs populary known as "fake"

Umesema vyema "watanzania tunakurupuka" For even you there kwenye statements zako umekurupuka; Europe wanatoa masters za mwaka mmoja? Kama academician how true is that statement of yours? Hii tabia ya ku generalise issues ni tatizo la watu wengi na ndipo ukurupukaji wetu unapotokea, hatu read between the lines na tunapo analyse issues hatuwi specific.

La pili hili la fake au not siwezi kuliongelea in specificity ila nitatoa general observation kwamba even kwenye academics kuna politics na mwisho wasiku PhDs zinakuwa kama vile zote ni sawa (Lakini ....mh Wale waliobahatika kupita huko wataelewa na maanisha nini I think ngarambe walizozipata watu, mtu anaweza piga risasi mwenzake anaejaribu ku forge au kujidai anayo) zile differences zinabakia kwa individuals' excellence ni jinsi gani anavyoweza ku akisi uhalisia wa cheti na jinsi ya ku articulate issues; transfering knowledge into realities.

Personely ningependa watu wote wasome kwa malengo ya kuelimika na si kupata cheti kwa lengo la promotions, fame or prestige. Nashukuru as a country tumeliona nakuanzisha taasisi ya TCU otherwise tusipokua makini hata ile value for education itapotea.
 
Mahanga anahainga tu hawezi kushinda kitu.wenzake waliokuwa na vyeti feki huko Mzumbe wamevuliwa na hawakwenda mahakamani.kwani wanajua fika kuwa walikuwa na vyeti feki. kwanini wao hawakutangaza hadharani kuwa SISI WAHESHIMIWA TUMEMESOMA VYUO VISIVYO NA HADHI MSITUITE MADOKTA.LAKINI WAO WAMEKABIDHI BUNGENI SHAHADA ZAO WAKIJUA NI FEKI.
 
Back
Top Bottom