Mahakama Kuu: Kutangaza Washindi wa Uchaguzi waliopita bila kupingwa ni Kinyume cha Katiba

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Mahakama Kuu Tanzania imeamuru hakuna wagombea Ubunge, Udiwani wala Wenyeviti wa S/Mitaa/Vijiji/Vitongoji kupita bila kupingwa. Imetamka vifungu hivyo ni BATILI vinakwenda kinyume na Katiba.

---

4EBF679C-B417-458B-AB58-BBC8A6BC3CBD.jpeg
98B5B4EE-4CCB-4046-B654-D70FE28A26FA.jpeg
606E4B03-F785-4531-95FB-FB8695C0E505.jpeg
 
Back
Top Bottom