Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,910
- 41,464
- Thread starter
- #21
Hawajashindwa maombi yao yameondolewa mahakamani hayakufuata taratibu za kisheria.Kiufupi wameshashindwa mpaka watakapofungua kesi nyingine, wao kuendelea kuwepo Bungeni ni ukiukwaji mkubwa wa Katiba ambao Samia hapaswi kuufumbia macho.
Shauri lao halijasikilizwa bado.