Mkuu Lunyungu, ninasikitika sana jinsi ulivyojitoa ufahamu kwenye hii issue na kuanza kumpiga madongo Lawrence Mafuru huku ukweli wa rekodi za kichunguzi ukimuonyesha kuwa ni msafi kuliko wengine wote hao.
Sijui ni Msemwa yupi unayemuongelea hapo juu, sijui ni yule alikuwa NDC miaka ile au yupi kama ni huyo basi kwa hakika una chuki binafsi na Mafuru au wewe ni mmoja wapo wa hao jamaa wawili.
Huyu Mbajo Methusela alikuwa CHC huyu, huyu ni mpigaji wa kawaida tu, hawa nd'o wakati wapo CHC (sijui yupo wapi kwa sasa) nd'o waliokuwa wanafanyia vikao vya board ya CHC Dubai. Huyu mshikaji alinunua nyumba pale ndani Dar Village karibu na Tanesco Mikocheni kwa pesa taslimu za kigeni(usd) ambayo ilikuwa kama 600m ya kibongo kipindi hicho. Hapo bado hujaongelea pesa chafu walizokuwa wanatembeza bungeni kipindi issue ya CHC ilipopelekwa bungeni ifutwe. Mnakumbuka wabunge wakiongozwa na MZitto walivyokomalia isifutwe, hahahahaha haikuwa bure. Na haya ni machache yanayojulikana kwa mtu kama mimi. Vipi ambayo vyombo vya usalama vinajua? Huyu Msemwa ngoja kwasababu sijajua kama ni yule alikuwa NDC ama la.
Lakini Mafuru ni mtu safi, lile suala la NBC ni kumuonea tu kwani hakupatikana na hatia yoyote.
Sijui ni Msemwa yupi unayemuongelea hapo juu, sijui ni yule alikuwa NDC miaka ile au yupi kama ni huyo basi kwa hakika una chuki binafsi na Mafuru au wewe ni mmoja wapo wa hao jamaa wawili.
Huyu Mbajo Methusela alikuwa CHC huyu, huyu ni mpigaji wa kawaida tu, hawa nd'o wakati wapo CHC (sijui yupo wapi kwa sasa) nd'o waliokuwa wanafanyia vikao vya board ya CHC Dubai. Huyu mshikaji alinunua nyumba pale ndani Dar Village karibu na Tanesco Mikocheni kwa pesa taslimu za kigeni(usd) ambayo ilikuwa kama 600m ya kibongo kipindi hicho. Hapo bado hujaongelea pesa chafu walizokuwa wanatembeza bungeni kipindi issue ya CHC ilipopelekwa bungeni ifutwe. Mnakumbuka wabunge wakiongozwa na MZitto walivyokomalia isifutwe, hahahahaha haikuwa bure. Na haya ni machache yanayojulikana kwa mtu kama mimi. Vipi ambayo vyombo vya usalama vinajua? Huyu Msemwa ngoja kwasababu sijajua kama ni yule alikuwa NDC ama la.
Lakini Mafuru ni mtu safi, lile suala la NBC ni kumuonea tu kwani hakupatikana na hatia yoyote.