Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Natoa wito kwa waziri magufuli kujiuzulu ili kuonyesha uadilifu,na msimamo..hii ni baada ya waziri mkuu kusitisha zoezi la bomoabomoa,kama kweli magufuli anaamini kwenye maamuzi yake ni wakati wa kuonuesha msimamo...