Magufuli: Hakuna haja ya hivi vyama vya siasa

Ni mpumbavu tu ndiye anayeweza kudharau ngazi aliyoitumia kupanda juu na kufikia mafanikio.Amini nakwambia EAC inahitaji vyama imara vya upinzani hivi sasa kuliko wakati mwingine wowote ule.
 
Anasema kinachohitajika ni maendeleo ya wananchi. Km kuna wengine bado wanategemea democracy Tz labda waombe wawepo baada ya miaka 200 ijayo. Vinginevyo tafuteni njia nyingine, inawezekana tuna laana au kuna makosa ya evolution kwa waafrika
Haya maneno hayakusemwa na Mh Magufuli! Mh amesema kuwa tuachane na tofauti za vyama vyetu bali wananchi wanahitaji maendeleo si mambo mengine....
 
Anasema kinachohitajika ni maendeleo ya wananchi. Km kuna wengine bado wanategemea democracy Tz labda waombe wawepo baada ya miaka 200 ijayo. Vinginevyo tafuteni njia nyingine, inawezekana tuna laana au kuna makosa ya evolution kwa waafrika

mtaisoma namba, ccm milele amina

vyama vingi peleka marekani-hapa ubabe- leteni vurugu tutawachapa tu.......

hatakama hawakumpigia kula lakini kapata urasi........hi tanzania......tanzania ni ccm

upuuzi kabisa
 
Anasema kinachohitajika ni maendeleo ya wananchi. Km kuna wengine bado wanategemea democracy Tz labda waombe wawepo baada ya miaka 200 ijayo. Vinginevyo tafuteni njia nyingine, inawezekana una laana au kuna makosa ya evolution kwa waafrika
unapotosha watu wewe tumefuatilia hotuba mwanzo mwisho. umeamua kuandika ili upate support ya Nyumbu wenzio wasiofuatilia. hapa ndo nimeona tabia za nyumbu na nimejua kwa nn mnaitwa nyumbu
 
Kama kweli kasema hivyo basi hastahili kukaa Ikulu hata kwa dakika moja na kama ameshaingia ni Accidental President anayepaswa kutafutiwa sulujisho mbadala kwa hatua zozote zile
 
Yupo sahihi kabisaaa!!!

Afrika hakuna Demokrasia

Hakuna demokrasia,kwasababu demokrasia haiwezi kutekelezwa na watu au vyama vyenye uchu wa madaraka kama CCM.

Heri wakoloni waje,si kututawala tena

Bali waje kutufundisha demokrasia kwa vitendo,

Hata dhahabu tutawapa.

Waafrika hatuna laana,tuna ujinga wa kurithi.

Ujinga mpaka kwenye damu.
Watakufundishaje bila kukutawala? Naona wewe unamtaka Trump
 
Napata mashaka kuwa kasema hayo. Pamoja na kuwa huwa kuna maneno yanamtoka bila kuyafikiri kwa kina hasa kamera zinapomzingua hajafikia hapo
 
Kama kweli kasema hivyo basi hastahili kukaa Ikulu hata kwa dakika moja na kama ameshaingia ni Accidental President anayepaswa kutafutiwa sulujisho mbadala kwa hatua zozote zile
Kasema wananchi hawahitaji vyama wanahitaji maendeleo. Akaendelea kusema kwamba uchaguzi umeisha sasa tufanye kazi. Kisha akasema yeye ni Rais wa Watanzania wote wawe CHADEMA, CUF, UDP, awe mtu hana chama hatawabagua.

Kisha akasema Nasary ni kijana mzuri na hana makeke hivyo anampongeza sana. Akasema sura ya Nasari ni CHADEMA lakini ndani ni CCM.
 
Kasema wananchi hawahitaji vyama wanahitaji maendeleo. Akaendelea kusema kwamba uchaguzi umeisha sasa tufanye kazi. Kisha akasema yeye ni Rais wa Watanzania wote wawe CHADEMA, CUF, UDP, awe mtu hana chama hatawabagua.

Kisha akasema Nasary ni kijana mzuri na hana makeke hivyo anampongeza sana. Akasema sura ya Nasari ni CHADEMA lakini ndani ni CCM.
Kwenye siasa za upinzani hii imemjenga au imemboa Nassary?
Unadhani Nassary atakaa awike tena kwenye siasa za upinzani? Salama ya NASSARY ahamie tu CCM ili apewe ukuu wa wilaya! Ubunge haumfai tena!
Kazi ya Mbunge ni kuikosoa serikali! Kama ameshindwa kazi hiyo, ajiunge na MAGUFULI, atuachie CHADEMA yetu!
Wanafiki hawana nafasi huku!
 
Kwenye siasa za upinzani hii imemjenga au imemboa Nassary?
Unadhani Nassary atakaa awike tena kwenye siasa za upinzani? Salama ya NASSARY ahamie tu CCM ili apewe ukuu wa wilaya! Ubunge haumfai tena!
Kazi ya Mbunge ni kuikosoa serikali! Kama ameshindwa kazi hiyo, ajiunge na MAGUFULI, atuachie CHADEMA yetu!
Wanafiki hawana nafasi huku!

Mkuu nakumbuka kinara wa CHADEMA yaani Mbowe aliwahi kumsifia Dr. Magufuli wakati huo akiwa Waziri wa Ujenzi. Kwa hiyo Mbowe naye ni mnafiq?
 
Anasema kinachohitajika ni maendeleo ya wananchi. Km kuna wengine bado wanategemea democracy Tz labda waombe wawepo baada ya miaka 200 ijayo. Vinginevyo tafuteni njia nyingine, inawezekana tuna laana au kuna makosa ya evolution kwa waafrika
Mkuu, tatizo ni kuwa,this process is lagging behind in Africa ndio maana wenzetu ambao process hii ilienda vizuri wametuacha mbali sana.Brain yetu bado ina element nyingi za wale viumbe.
 
  • Thanks
Reactions: JGG
Kasema wananchi hawahitaji vyama wanahitaji maendeleo. Akaendelea kusema kwamba uchaguzi umeisha sasa tufanye kazi. Kisha akasema yeye ni Rais wa Watanzania wote wawe CHADEMA, CUF, UDP, awe mtu hana chama hatawabagua.

Kisha akasema Nasary ni kijana mzuri na hana makeke hivyo anampongeza sana. Akasema sura ya Nasari ni CHADEMA lakini ndani ni CCM.


Hayo ni maneno ya kipuuzi kutoka kwa Rais wa nchi lakini ya kawaida kutoka kwa kada au mwenyekiti wa CCM.
 
  • Thanks
Reactions: JGG
Ikiwa mtu km magufuli ambaye ni mwanasiasa kwa miaka zaidi ya 20 hajui umuhimu vyama vya siasa itamchukua mamangu ambaye ni mama wa nyumbani na kijijini muda kiasi gani kujua umuhimu vyama vya siasa ktk maendeleo ya nchi?
Nimesikiliza hiyo hotuba na ni kweli ametamka kuwa kinachohitajika sio haya mavyama ya siasa bali maendeleo! Nilichokiona kutoka katika hotuba yake ikiwa ni pamoja na lugha ya maneno na ya mwili (body language), ni kweli JPM anayosema anayesama kwa dhati, ana nia nzuri lakini HANA uelewa wa kutosha kutambua na kukubali kuwa chama chake, CCM, ndicho kilisababisha hayo anayoyaita 'mambo ya hovyo kabisa' aliyoyakuta na kwamba bila vyama vya upinzani kupaza sauti kali leo hii tungekuwa na Maembe na hayo anayoyaita ya hovyo yangekuwa business as usual! JPM anahitaji mshauri makini wa siasa au niseme sayansi ya siasa na anayemwamini na kumheshimu ili ampige msasa kwamba asikandamize wala kubeza upinzani (ninafikiri anaposema hawataki mavyama, anamaanisha upinzani) kwani ndio unampa nafasi aliye madarakani kujua wapi amejikwaa ama ameteleza katika juhudi zake za kutaka kuwaletea wananchi maendeleo.
Amekiri kwa uwazi kuwa amekuwa serikali kwa muda wa miaka 20 na anaposema kuna uozo anajua anachosema. Sasa kama aliuona huo uozo, kwa nini asijiulize kwa nini hakuthubutu hata kutoa pendekezo ya kuuondoa? Ni kwa sababu kwa utamaduni wa utawala wetu, ukiwa sehemu ya utawala huwezi kumkosoa mkubwa wako hata kama unaona anayofanya hayafai. JPM anakiri utawala wa awamu ya nne ulifanya mengi ya hovyo lakini asingeweza kufanya lolote. Ni mpinzani tu ambaye ana nafasi ya kumnyooshea mtawala kidole, tena hii imehalalishwa kikatiba. JPM anahitaji kasemina-elekezi ka faraghani ili aache kuwa anajishusha kiasi anachofanya linapokuja suala na siasa za upinzani. Siasa za upinzani (mavyama ya siasa) ni NGUZO kuu ya kuwaletea wananchi maendeleo, Mr President!
 
Kama kweli kasema hivyo basi hastahili kukaa Ikulu hata kwa dakika moja na kama ameshaingia ni Accidental President anayepaswa kutafutiwa sulujisho mbadala kwa hatua zozote zile
Maneno mazito sana haya na sijui kama kuna wakufanya hivyo ,Lililotokea Kilombero sijui kina Mbowe wataendelea kulaani mpaka lini,hakuna kipindi nilipata maumivu ya moyo kama wakati wa uchaguzi huu uliopita kwa kusubiria matamko ya viongozi wetu wa Ukawa ,kama viongozi hamchukui hatua juu ya upuuzi kama huu wa meya wa Dar ,Mkurugenzi analeta zuio la uongo na mahakama imemkana ,mpaka sasa hivi yupo anakula kiyoyozi ila anayepelekwa polisi ni mdee ,Kila siku Mbowe ni tumechoka tu kwenye vyombo vya habari ,
 
Tatizo Magufuli hana washauri, na nadhani ofisi ya Raisi pia wanamwogopa kutokana na utemi wake, ukweli ni mropokaji sana, sidhani kama hata huwa anajiandaa kwa kuhutubia!
 
Mtoa mada wewe ni popompo

alichosema sio hakuna haja ya vyama Bali amesema sasa ni muda wa kutafuta maendeleo sio kujizuuka kwenye mambo ya vyama tuungane kuhakikisha afrika tunajikwamua Na umasikini
pia akasema lengo lake yeye ni kuhakikisha anapambana Na wachache wanaomiliki Mali nyingi huku wakisababisha wananchi walio wengi wa Hali ya chini kupata shida.

Tz in 87% ya wapumbavu na wajinga na 13% ya wanaoelewa, wewe ni group la 87%, majority ndiyo maana Africa tupo mahali tulipo kwa sababu ya akili km yako na jpm. Ni taifa ipi ktk dunia hii iliyoendelea kwa sababu ya raisi, nyerere na akili yote alifeli seuze huyo ambaye hata lugha ni mtihani, nchi inajengwa na mifumo na taasisi na moja ya taasisi ni vyama vya siasa
 
.....
Kwa nyongeza tu, JPJM si mwana siasa na si mwana diplomasia na akiachwa kuzungumza bila manuscript (extemporaniously) lazima utarajie kuwa ataropoka, na ndivyo alivyofanya leo.

Tulimchagua wenyeee! Sasa tumvumilie!
Na kitengo kilimchagua nani?
Unataka kusema Tanzania hufanya uchaguzi?
Nimewasikia wengi wanasema Kivuitu kwa kawaida huwa ana mshindi wake mfukoni, anachofanya ni maigizo tu. Kama "tulimchagua" mgombea ambaye "si mwanasiasa" basi Tanzania ni nchi ya DOMOkrasia la kweli.
 
Back
Top Bottom