Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Asante Mkuu!
Kwa ufupi wakazi wa jiji ni moja kati ya wananchi walio hovyo na kimsingi wao ndio wanaochelewesha maendeleo ya nchi yetu. Wao ndio wakwanza kulia linapotokea tatizo. Angalia tv, sikiliza redio, wanaharakati. Ni walalamikaji wazuri. Halafu ni wote, hadi wabunge wao! Inapofika uchaguzi, wao ndio wanaipendezesha na kuichagua ccm. Acha watukanwe labda watapata akili. Wabunge wao walisha ambiwa wanatumia makalio kufikiri. Labda matusi na kudhalilishwa ndio kutawafungua macho. Hovyo kabisa!
Aaahh kamanda hukumbuki kwamba tupo wapiganaji hata kama ni wachache!?
Ukisema ni wote hata wale wa kawe na ubungo waliosimama imara hadi kikaeleweka. Nadhani ni sahihi kusema wengi wao na si wote.