Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

Mabadiliko makubwa yanaletwa na MAgufuli sio hili genge la nzige na mafisadi waliojikusanya na kuanza kutuhadaa kwa maneno matamu yasiyo na vitendo hata vya kufikirika,watanzania tumeamka natunafahamu kuwa ni nani anatufaa katika kuongoza taifa letu.

Kama unapanda jukwaani na kumnadi Chenge, Mpiga dili wenu na dili zote yuko ndani, yako wapi Mabadiliko apo. Think beyond ua feelings. We will change the system na sasa imebaki mbadilishe CCM to CDM cz hata jina la chama chenu mnaogopa kulitumia.
 
Wana CCM walishachoka kiakili.

Angalia hadi wanaiba mawazo ya Ukawa.

Na wananchi wa leo sio wa kuwadanganya tena.
 
hata msemaje hatuwaelewi ni Lowassa mabadiliko, mbadiliko Lowassa!!
 
Hahahaaa.. Hii ni nooma kweli kweli.. Mme mchukua Slaa , Lipumba , Wasanii na Hii pia? Nadhani sasa mtaweka picha ya Lowassa kama mgombea wa Urais kupitia CCM . Hiki chama sikuamini kama kitakuja kufa kama betri ya tochi. kina vuja sasa.
 
Cha muhimu ni kuelimisha watu hasa wa vijijini juu ya hii kitu. Kubeza tu hakusaidii maana ina impact yake. Haijakaa kitoto kama wengi wanavyodhani. Uchaguzi huu hata kura mia zina madhara. Hakuna ushindi wa kishindo kwa kambi yeyote
 
Hapa ndipo ninapokumbuka maoni ya Mkandara kwenye moja ya post huku JF

Vyama hivi sasa ni vigumu kuona tofauti yao...hatuoni tofauti ya itikadi wala Sera...hujui chama kipi kinaamini kipi na kinasimamia lipi

Tabu zaidi ni kuwa CCM kama chama mama tulitarajia kiwe way ahead of vyama vya upinzani...kuanzia kwene ubunifu mpaka kwenye itikadi na kauli mbiu za kukitofautisha na hivi vyama pinzani na vichanga

Kwa sasa CCM ni kama think-tankers wao wameshafikia ukomo wa ubunifu na wana kazi ya ku-copy na ku-paste toka upinzani

Nilianza kuona waki-copy na ku-paste Lowassa Mabadiliko Mabadiliko-Lowassa wakigeuza kuwa Mabadiliko-Magufuli Magufuli-Mabadiliko

Sasa na hii ya M4C nayo wameiga....

Naanza sasa kuwaza kimyakimya kuwa..."If I am to choose between a copy and the original, I will choose the original one as it has the root and the how's of the vision and it will never fade in a little while"

CCM wao ni mabingwa wa kubadili upepo wa siasa tu watake uvume wapi. Hiyo ya magufuri for change(M4C) ni janja ya sayansi ya siasa kuwaumiza wapinzani wao kisaikolojia ili wakate tamaa kutoka na slogan mpya ukizingatia kuwa slogan hadi ijulikane inachukua muda mrefu sana.
 
Last edited by a moderator:
Mimi napata shida kidogo nikiona hii slogan ya M4C - Movement for Change ambayo inaonekana kuuzika sana kiasi cha wapinzani wa Chadema kuanza kutaka kuitumia kwa kupachika viji-maneno vyao. Hivi hii kitu inakuwa vipii NEC wanafumbia macho. Chama flani kinauza slogan inakubalika then mengine yaje tu kuitumia kwa ajili ya kuchanganya watu. Ingawa najua hata kama tukiwaachia tunazo nyingi na ni rahisi kuuzika, mfano mzuri ni Mabadiliko - Lowasssa.

Mkuu wakiambiwa UKAWA kuna vichwa kuliko ccm wanakataa ona sasa kila kinachobuniwa na UKAWA maccm yanaiga! Nikalisikia tutusa moja eti linasema "Magufuli, mabadiliko mabadiliko magufuli" Kweli mwaka huu tutaona mengi! UKAWA wakaongea na wandishi wa habari na yenyewe yakakurupuka!! Lowassa akasema elimu bure na yenyewe mbio eti elimu bure mpaka form 4! Sasa ona huu mzimu unataka kulazikishia M4C iwe Magufuli for change, ng'wali ng'waja h'ikale?
 
CCm inachekesha hadi huruma. Kutokana na chama kutouzika wanataka watoe nembo ya chama kwenye bendera yao waweke picha ya magful na wabadili jina iwe CHAMA CHA MAGUFULI (C.C.M) ndio maana kwenye kampeni ananadi kuwa "serikali ya magufuri.
 
Huu ndio uwezo wa kufikiri wa timu ya kampeni ya magufuli (akina makamba, lusinde, bulembo, na watukanaji wengine)
 
Ha ha ha ha yaani CCM wamefika mwisho, wanajitekenya wenyewe wanacheka wenyewe, hivi siku hiyo wakishindwa sijui wataonekanaje jamani, bora wapumzike tu, sasa kama mnashindwa kubuni mambo yenu wenyewe, hiyo serikali ndiyo maana imewashinda, kumbe ndiyo maana kila kiongozi alikuwa anafanya yake na mkalundikana kwenye urais, tulieni sindano iwaingie mkafie mbele.
 
Nimesikia huu ni mkakati uliopangwa wa kuchanganya watu akili kama wasipokuwa makini wampigie kura Magufuli wakidhani wanawapigia Chadema. Kaa chonjo!!

haita kaa iwezekane mkuu,kwani magufuli ana nywele nyeupe???????? kwani ana nywele za busara?nyeupe kama dhahabu ya ofiri?
rais lowasa
 
Kikao kilifanyika Ikulu kabisa!! kujadili magufuli for change!!!! Kweli ikulu ni mahali patakatifu.
 
Back
Top Bottom