Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

Mtaiga sana mwaka huu hata Mpaka kuvaa chupi



".....walutheri mniombee sana..nchi hii haijawahi kuwa na rais mlutheri....nyerere alikuwa mroman..mkapa pia
Sasa n zamu ya walutheri"

Huo ni udini

"...kaskazin tunaonewa sana..imekuwa n sehem ya uwaziri mkuu tu...sokoine alikuwa wazir mkuu wa huku..sumate pia na mimi nilikuwa waziri mkuu..hakujawahi kupatikana rais...sasa n zamu ya kaskazini"

Hahah
huo n ukabila

Hatuwez kuchagua rais wa walutheri aitwae ngoyai
 
hizo ndo akili za watu zaifu walio inuliwa na mfumo wa kifamilia, na wajinga wachache wanaalinda, wakisingizia ni usalama wa Nchi.k..e..nge ..kas..oro.mkia
 
alipewa onyo kali na kamanda mbowe akasema nimekusikia kamanda wa makamanda mkuu wa wakuu sitorudia tena kulitumia akapiga saluti tatu kwa mbowe !!
 
Wakati wa kampeni wa uchaguzi mkuu uliopita mgombea urais kupitia CCM ndugu Magufuli alitoa kauli mbiu kwamba Watanzania wakimchagua yeye ndiye ataleta mabadiliko (Magufuli for Change), mie binafsi sikuamini kama mgombea huyo wa CCM anaweza kuleta mabadiliko hayo.
Mheshimiwa Rais Magufuli kwa asilimia mia moja na amini ahadi uliyoitoa kwa Watanzania umetimiza kwa kasi kubwa sana na Watanzania wameliona hilo, hakuna binadamu aliyekamilika Mhe. Rais Magufuli anaweza kuwa na mapungufu lakini kazi aliyoifanya ni kubwa kubwa sana haswa kwa vita dhidi ya Ufisadi, matumizi mabaya ya fedha serikalini, nidhamu ya watumishi wa umma na nk.
Kwa hali iliyokuwa nayo Chama cha Mapinduzi mwaka jana kwasasa imani ya Watanzania imerudi kwenye Chama hicho. Ndugu zangu Watanzania kwa kila hali tumuunge mkono huyu kiongozi shujaa ili atuongozee kwenda kwenye Tanzania yenye matumaini, kweli hakuna mabadiliko yasiyokuja na maumivu yake ila baada ya maumivu kuna matumaini mazuri. Vijana ama wanaharakati wanaotumika vibaya kupitia mitandao ya kijaamii watafakari kwanza kutoa maoni ya kumbeza kiongozi huyu shujaa.
 
Wakati wa kampeni wa uchaguzi mkuu uliopita mgombea urais kupitia CCM ndugu Magufuli alitoa kauli mbiu kwamba Watanzania wakimchagua yeye ndiye ataleta mabadiliko (Magufuli for Change), mie binafsi sikuamini kama mgombea huyo wa CCM anaweza kuleta mabadiliko hayo.
Mheshimiwa Rais Magufuli kwa asilimia mia moja na amini ahadi uliyoitoa kwa Watanzania umetimiza kwa kasi kubwa sana na Watanzania wameliona hilo, hakuna binadamu aliyekamilika Mhe. Rais Magufuli anaweza kuwa na mapungufu lakini kazi aliyoifanya ni kubwa kubwa sana haswa kwa vita dhidi ya Ufisadi, matumizi mabaya ya fedha serikalini, nidhamu ya watumishi wa umma na nk.
Kwa hali iliyokuwa nayo Chama cha Mapinduzi mwaka jana kwasasa imani ya Watanzania imerudi kwenye Chama hicho. Ndugu zangu Watanzania kwa kila hali tumuunge mkono huyu kiongozi shujaa ili atuongozee kwenda kwenye Tanzania yenye matumaini, kweli hakuna mabadiliko yasiyokuja na maumivu yake ila baada ya maumivu kuna matumaini mazuri. Vijana ama wanaharakati wanaotumika vibaya kupitia mitandao ya kijaamii watafakari kwanza kutoa maoni ya kumbeza kiongozi huyu shujaa.
Sidhani kama hawa vijana wakorofi wa bavicha watakubaliana na wewe. Wana itikadi haribifu zaidi ya scorpion. Wao kila kitu ni kupinga. Wewe tulia tu utaona.
 
Polepole yuko wapi aisee?

TID watakaokusaidia kwenda mahakamani wao wenyewe wameipora M4C arifu.

Ni yeyeeee
 
Mambo ya Copyrights ya M4C yamekaaje hapo mzee baba?
Naona kama ni mabdiliko makubwa sana, baada ya CHADEMA kumchukua mgombea urais mtuhumiwa wa UFISADI, vijana wa CHADEMA wasiokubaliana na Lowassa wanasema siyo MOVEMENT FOR CHANGE , bali MAGUFULI FOR CHANGE.


attachment.php

 
Back
Top Bottom