wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,530
- 5,060
Msalimie mumeo ChakubangaMisifa ya kijinga.
Wazaramo wenye dar yao wanawachora tu
Msalimie mumeo ChakubangaMisifa ya kijinga.
Wazaramo wenye dar yao wanawachora tu
Misifa ya kijinga.
Wazaramo wenye dar yao wanawachora tu
Weka pichaNikiwa njiani kutokea Arusha Jana mpaka Leo tarehe 22 Dec nimeshuhudia kupishana na msururu wa magari binafsi mengi utafikiri wadudu wakisafiri, yote yanaonekana kutokea Dar, je watu wa kaskazini ndiyo wanaongoza kuwa na vyombo vya usafiri au Magari
Kwa sababu wameshaninuliwa wote na kusukumiwa huko pembezoni, yaani uwe mwenyeji halafu hela huna useme unaishi Dar?Ila historia haifutiki. Alafu hivi kwanini watu wa bara hawapendagi kusikia hili swala la Dar ina wenyewe?
Na nyie wangindo kodiniWengi wanakodi magari msimu huu.
Wenyewe choka mbaya makazi mbagala chamazi mwananyamala wanuka maviAlafu wabara wakatae wakubali Dar ina wenyewe. Na ndo maana mwisho wa mwaka lazima waende makawo
Kukodi gari ni. Garama zaidikukodi nako ni pesa na ni sawa tu wote walalao ndani ya nyumba haimaanishi nyumba ni zao a uhawawezi kujenga!
Wewe kwenu wapi boss,?! Maana hilo povu ulilotoa linatosha kuosha lori nane...Misifa ya kijinga.
Wazaramo wenye dar yao wanawachora tu
Eti anasema magari yote.mbn hapa nilipo yako mengi tu. Sifa za kijinga tu.Yalikuwa mangapi?
Alisema kama wadudu,, kuhesabu itakuwa alishindwa.Yalikuwa mangapi?
Hivi kwenda kwenu na gari yako binafsi ni kutaka sifa? mkuu hapa naona kama umeteleza kidogo.Yawezekana au ikawa ni kutaka sifa
Wengi wanakodi magari msimu huu.
Wenyewe choka mbaya makazi mbagala chamazi mwananyamala wanuka mavi
Mwanza in kaskazini mkuu?Kwanza kasema kaskazini mwa Tanzania ambayo ni arusha mwanza mara tanga kilimanjaro nk