Dada yangu hiyo kitu ya ukweli kabisa.........usiniulize bei utazimia
... we gfsonwin, yaani mi mwenyewe nikiwa ndani ya Noah yangu, najiona kama niko kwenye ndege...tena najihisi kama nakula kiti moto... ndio maana nalipenda LOLlkn hata noah imekaa kama kichwa cha nguruwe siriaz sijui kwann ziliundwa vile.
... we gfsonwin, yaani mi mwenyewe nikiwa ndani ya Noah yangu, najiona kama niko kwenye ndege...tena najihisi kama nakula kiti moto... ndio maana nalipenda LOL
umeacha gari fulani inaitwa toyota probox.
Iko flat kama chapati na angles kali kiasi ukipita vibaya inakutumbua.
Inaitwaje hiyo na ni pesa ngapi?
duh!!!!!!!!Haya mengine matani sasa
Nikimkamata designer wake wallah napiga eti