Kama hiyo ni igunga tu sipati picha kwenye uchaguzi mkuu ccm walitumia kiasi gani.
CCM must die.
Mkuu umekosea kidogo, must be killed!
Kama hiyo ni igunga tu sipati picha kwenye uchaguzi mkuu ccm walitumia kiasi gani.
CCM must die.
CHADEMA bana hawatumii nguvu nyingi,wanatumia nguvu kidogo na akili kwa wingi CCM wao na ulofa wao wa mawazo wanatumia nguvu mpaka za msaada,kwa jambo dogo tu CCM ni ma zero brain.
Mbona kidogo sana hizo, siku ingine tunahakikisha tunatumia kama 300,000 kwa kila kura, uwezo tunao.
ni lazima upate wasiwasi na uwezo wangu wa kufikiri maana hukutegemea kwamba kuna vijana wana uwezo wa kufikiri kama mimi..magamba yamekujaa hadi kwenye ubongo kijana...kwa kifupi ni kwamba tukirudi kwenye uhalisia tukichukua hiyo gharama yenu ya kura moja 113,275/= tukaigawanya na gharama ya cdm kwa kura moja 17177/= unapata 6.5...maana yake ni inabidi ccm yako itumie nguvu mara sita na nusu ya chadema ili iweze kumshawishi mtu mmoja akupe kura....just think brother!!!