davidmgombele
Member
- Nov 25, 2010
- 29
- 2
mzee you are very creative. ccm kinaleta aibu tu ktk zama hizi ambazo watu wameenda shule. huwezi kuwa mtu makini halafu ukabaki ccm, ndo maana watu kama j. makamba, nauye, sita, mwakyembe, mwandosya, lembeli nk huko waliko siko wanakopaswa kuwa. matokeo yake wanamponza mtu anayeheshimika sana john magufuli kuwa msanii anayesoma bajeti ya daraja la mbutu hadi asubiri rostam ajiuzulu. john magufuli wanakushushia hadhi maana wewe ni dk,