Habari ya Mifuko ya jamii kukatalia pesa ya wafanyakazi imeishia wapi?? manake jana mtu mmoja ameenda NSSF, kudai mafao yake akakataliwa... sasa afanyeje?? ushauri wenu Tafadhali....
issue imesimamishwa for next six month mpaka bunge litakapokaa tena mwezi wa kumi na moja, ndipo waheshimiwa wetu watakaa tena kutuamulia hatma yetu ingawa ni haki yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.