Maendeleo ya afya ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa

Status
Not open for further replies.
Mshituko wa nini?!
Jamani lkn kama kweli Lowassa yuko nyuma ya hujuma dhidi ya Mwakyembe, hastahili kuonewa huruma hata kidogo....!
Na kama kweli alishiriki kutuhadaa watanzania mwaka 2005 hadi tukachagua raisi mbovu....noo mwache apate adhabu yake hapahapa duniani!
 
Mshituko wa nini?!
Jamani lkn kama kweli Lowassa yuko nyuma ya hujuma dhidi ya Mwakyembe, hastahili kuonewa huruma hata kidogo....!
!
Na kama kweli alishiriki kutuhadaa watanzania mwaka 2005 hadi tukachagua raisi mbovu....noo mwache apate adhabu yake hapahapa duniani


Mkuu unahitaji ushahid gani??? They are birds of the same feather
 
Wakuu, asanteni kumuombea Mh. Edward Lowassa. Ni kweli amelazwa hapa Ujerumani na hali yake inaendelea kuwa nzuri. Mh. alipatwa na shinikizo dogo (Ischemic Stroke) linalotokana na kazi nyingi mfululizo bila kupumzika, ila madaktari wamempa clean bill of health na kwa sasa anapumzika kitandani. Baada ya siku chache Mh. atarudi kuendelea na shuguli za ujenzi wa taifa. Muombeeni mpiganaji wetu. Asanteni

Wapo wanaosambaza ujumbe kupitia SMS kwamba Mh. Amefariki, hapana. Huo ni uzushi wa kupuuzwa. Mh. Ni mzima

Ha ha ha ha ha ,eti Lowasa naye mpiganaji,Watanzania bana.
 
Mpe salamu zangu za upendo na na upenzi kwake. Mwambie tunampenda na tunamwombea awe na afya iliyokamilka.
 
Death is not a thing to wish to anybody let alone your greatest rival...how many people hate u and still don't wish u death?? Come on men let's be human even for a little bit!
 
Oh! Lord Jesus, mponye Lowasa arejee kwenye siasa na mchango pamoja na changamoto za Nchi yetu. Amen.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom