Ingewezekana kabisa kutibiwa Muhimbili,Agakhan,regent,ccbrt,KCMC nk ila hofu iliyopo nchini ni mkanganyiko wa taarifa za wizara husika ya tiba,hususani za Mwakyembe!Aaseeee!!!!!!!' alikuwa haiwezekani kutibiwa/kuchekiwa muhimbili?!?
Ingewezekana kabisa kutibiwa Muhimbili,Agakhan,regent,ccbrt,KCMC nk ila hofu iliyopo nchini ni mkanganyiko wa taarifa za wizara husika ya tiba,hususani za Mwakyembe!Aaseeee!!!!!!!' alikuwa haiwezekani kutibiwa/kuchekiwa muhimbili?!?
Leo ndiyo tutawajua wanafiki eti apone haraka aje aendelee na mapambano...yaani mtoa roho unamtakia afya njema...Mapambano yapi! Yakuwapa wabaya wake sumu? Au yakuwanyonya watanzania kupitia dowans? Au yakuyaingiza makanisa jehanamu kwakutoa rushwa yakuwajengea majengo? Au yakuzuia ufanikishwaji wa dhana yakujivua gamba?
Shughuli za ujenzi wa taifa ua kujisafisha makanisani? fafanua kidogo mkuu sioni hiyo shughuli unayoiita ya Ujenzi wa TaifaWakuu, asanteni kumuombea Mh. Edward Lowassa. Ni kweli amelazwa hapa Ujerumani na hali yake inaendelea kuwa nzuri. Mh. alipatwa na shinikizo dogo (Ischemic Stroke) linalotokana na kazi nyingi mfululizo bila kupumzika, ila madaktari wamempa clean bill of health na kwa sasa anapumzika kitandani. Baada ya siku chache Mh. atarudi kuendelea na shuguli za ujenzi wa taifa. Muombeeni mpiganaji wetu. Asanteni
Huyu ni mtoa roho za watanzania afie mbali...
Mi nadhani hapa mtoa mada alikuwa anamaanisha ubomoaji wa taifa. Yani Sir GOD angemchukua huyu jamaa kuwawajibisha watu ingekuwa rahsi sana, coz he is behind all evil! Dam!Shughuli za ujenzi wa taifa ua kujisafisha makanisani? fafanua kidogo mkuu sioni hiyo shughuli unayoiita ya Ujenzi wa Taifa
Muhimbili haijawahi kuwa hospitali ya wakuu wa nchi hii. Miongoni mwao atakayepata mafua anakwea pipa huyoooo! Mpaka appolo au st. James au ujerumani. Hivi hujiulizi kwa nini mgomo wa madaktari hauwagusi kabisa? Hapo ndipo nchi ilipofikia...hongera Jk, hongera ccmAaseeee!!!!!!!' alikuwa haiwezekani kutibiwa/kuchekiwa muhimbili?!?
Uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwi hata waizi mnawatakia afya njema...acheni unafiki
Asante kwa taarifa...
Hope atapata nafuu mapema!
Asante kwa taarifa...
Hope atapata nafuu mapema!
Hapa ulijiuzia...Kuna mgomo wa madaktari.....
Hapa ukaona, liwalo na liwe! punguza makali mkuu, tumuombee uzima ili aje kushuhudia kubunga cha 2015.Vipi hali ya Rostam na Chege...binafsi hawa siwezi kuwaombea eti wapone badala yake wafe maana wamesababisha watanzania wengi kupoteza maisha kwa ufisadi wao...mafisadi, wanafiki wote kufeni tena haraka sana...
Mpeni pole na Mungu amsaidie apone haraka,but napata shida kujua ni kazi gani anafanya bila kupumzika za ujenzi wa taifa? Na ni taifa gani hilo linamuweka busy hivyo? maana mimi najua yy ni mbunge tu.Wakuu, asanteni kumuombea Mh. Edward Lowassa. Ni kweli amelazwa hapa Ujerumani na hali yake inaendelea kuwa nzuri. Mh. alipatwa na shinikizo dogo ([FONT=Arial,Helvetica]Ischemic Stroke[/FONT]) linalotokana na kazi nyingi mfululizo bila kupumzika, ila madaktari wamempa clean bill of health na kwa sasa anapumzika kitandani. Baada ya siku chache Mh. atarudi kuendelea na shuguli za ujenzi wa taifa. Muombeeni mpiganaji wetu. Asanteni
Shukrani kwa taarifa, lakini hilo tatizo dogo lilishindakana kutibiwa hapa nyumbani mpaka aende huko Ujerumani?
Hii ni habari njema sana...Usjali mkuu! Huyu kufika 2015 ni ndoto, kashaanza na kupata stroke! One stroke is the risk of another one. Taa ya njano inablink hapa tutegemee red soon. R.I.P fisadi mkuu.