Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Jambo moja tu ambalo ningependa kufahamu kutokana na hii press release hii na ambalo sijapata kulifahamu ni hili;
Ni Taratibu zipi zilizokiukwa na bodi ya wakurugenzi ya Tanesco katika kumsimamisha kazi Mhando ili apishe uchunguzi??
Ni Taratibu zipi zilizokiukwa na bodi ya wakurugenzi ya Tanesco katika kumsimamisha kazi Mhando ili apishe uchunguzi??