Super human
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,139
- 736
mjamaa ZITO! ACT imefadhiliwa na nan hizo office ilizofungua? imepata ruzuku kias gn? mbona vyanzo vyake vya mapato vinafahamika?
Jiulize kwanza kabla ya kuandika upuuzi.
Je hao uliowataja umewahi kusikia wakijinadi kuwa ni wajamaa na wanafuata itikadi za Nyerere?
Sasa maelezo yako na picha zinaashiria nini! "Ujamaa ni IMANI" nukuu ya Mwl. Nyerere!Ni wapi nimeandika ni kosa mjamaa kumiliki mali.ila nimeona ajabu mjamaa kukimbia mali zake
Zitto anaweza kuwa chochote ila siyo mjamaa na hawezi kuwa mrithi wa falsafa za Mwl. Nyerere kama anavyojipambanua.
Hilo gari alilolipanda ni tofauti na hiyo ya kwenye harusi. tafakari kabla hujaandika1. Hilo gari alishalikanusha
2. Mwalimu nyerere ambaye hatuna shaka na ujamaa wake mikutano alikuwa anafanyia Kilimanjaro hotel, hilo unalionaje? Mwalimu hakuwa mjamaa?
3. Inasikitisha hiyo picha yake akiwa na Rostam ilipigwa kwenye msiba wa Mama yake! wewe unaileta kana kwamba alikuwa na biashara binafsi na Rostam. Hiyo sio siasa ni roho mbaya mkuu.
wakati unatema povu kukanusha mwenzio anakanusha kumilikiNi rahisi sana kumiliki gari kama hili cha msingi nenda shule, usifiki Zitto Kadima hapo alipo bila kufanya kazi.
Waache hao wajinga wajambishwe na Zitto, na bado watatapatapa sana.
roho ya ccm imeshikiwa na Lowasa wakimteua ccm itakufa wasimteua ccm itakufa.Lowassa asipopitishwa na kamati kuu wallahi ccm itasambaratika,namshukuru kingunge keshawatahadharisha mapema lazima mumpitishe mtu anayependwa na watu.
Hivi wewe katika maisha yako umewahi kupanda magari mangapi? Kila gari unalopanda ni la kwako? Kama unauthibitisho kuwa Zitto ana miliki hammer onyesha nakala ya kadi ya gari.
Mbona Lema amekuwa akipanda erkopta mara kwa mara, nayo ni yake? Acha chuki binafsi kwa ZZK! Mmemfukuza CDM na ubunge akawaachia bado tu mnamfatilia na visa vya kutunga!
Hao wamejipambanua kama bepari
mjamaa ZITO! ACT imefadhiliwa na nan hizo office ilizofungua? imepata ruzuku kias gn? mbona vyanzo vyake vya mapato vinafahamika?
Zitto ameshajimaliza mwenyewe nani anahangaika naye?Watu wanadai wamemalizana na Zitto lakini kila kukicha wanaanzisha nyuzi zinazomhusu yeye.
Nilidhani sasa nguvu ingeelekezwa kwenye ujenzi wa chama na mambo kama hayo.
Kama unaukubali uwezo wa mtu be straight tu siyo kupakazia la sivyo ulcers zinakuhusu.
mjamaa ZITO! ACT imefadhiliwa na nan hizo office ilizofungua? imepata ruzuku kias gn? mbona vyanzo vyake vya mapato vinafahamika?
uchu wa madaraka utawamaliza nimeamua kumdhulumu Limbu chama chake Mungu atawahukumuHiki chama cha wanyonge na kinaendeshwa na wanyonge. Tumepanga Ofisi Kijitonyama na tunalipa kwa michango wa wanachama. Hakuna chama cha siasa kilichoanza na ruzuku. Ruzuku huwa inakuja baada ya uchaguzi. Lazima sasa tusote ilu tuweze kupata viti vingi vya ubunge na kura nyingi tuweze chama sawa sawa. Kwa sasa tunajikongoja. Tutafika kwa uwezo wake mola na nguvu za wanyonge.
Chama chetu cha uwazi. Vyanzo vyetu vya mapato vitawekwa hadharani na kukaguliwa na mkaguzi aliyeteuliwa na CAG. Mahesabu hayo yatawekwa kwa umma.