Kwa Aina ya viongozi tuliona WatawanunuliaKama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi.
Kwa nini wasijinunulie wenyewe?Kama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi.
au Used Carina TIDiwani kazi yake ni kupiga umbea mtaani tu, usafiri wz boda boda unamtosha.
Madiwani nao wanataka kutamba na misafara kama Hanang'Kwa nini wasijinunulie wenyewe?
Mkuu ongeza na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa nao wapeweKama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi.
ITAPENDEZA SANA TENA SANA NCHI HII INA UKWASI WA KUTISHAKama ilivyo Kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, Majenerali wastaafu, mwenezi na Wakuu wa Mikoa. Madiwani nao wanastahili vyombo vya usafiri vyenye hadhi.
NB: hizi gari zitarahisisha kumtembelea miradi ya maendeleo Kama ilivyoainishwa kwenye ilani