Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,247
Kipindi Cha awamu ya tano ya jpm ajira zote ziliyeyuka ikawa kila msomi ambaye Hana ajira anafikilia kuwa machinga na rais anafurahia Hali hiyo.
Tukianza na private sector kama mabank, hospitali binafsi au shule binafsi hazikiwa zinataka kuajiri kabisa na zaidi sana zinapunguza hata waliopo. Ilifikia hatua kuajiriwa inakuwa bahati sana na una yanyaswa to the maximum mana huna alternative nyingine ikafikia pahala mpaka graduate analipwa laki moja na nusu kwa mwezi. Kuna baadhi ya shule ukiajiliwa tu wakati wa kwenda kazini mlinzi ankupokonya simu mpaka saa moja usiku ndo atakurudishia wakati unaenda nybani mfano Nyahili iliyopo Arusha.
Public sector kama ajira kwa walimu na madaktari ikawa ni issue hakuna tena ajira na zikitangazwa wanaotaka watu elfu tano au kumi nchi nzima na zenyewe ikawa ni hadaa. Tulishuhidia katika ajira hizo wanajaza waliopo kwenye ajira tayari ili kutimiza idadi na wakati wapya hawazidi elfu moja.
Kwa Sasa angalau ajira zinaanza kumwagika private sector na public sector mana wawekezaji wameongezeka na shule zilizokufa au kufungiwa zinafufuka Sasa hivi. Mea si mrefu tutarudi enzi za jk ambapo kazi kama ualimu au udaktari ilikuwa hamna kuomba Bali unapangiwa mojakwamoja labda ukatae wewe tu.
Shukrani kwa mwenyezi mungu kutuona waja wake mana Hali ilikuwa mbaya sana.
Tukianza na private sector kama mabank, hospitali binafsi au shule binafsi hazikiwa zinataka kuajiri kabisa na zaidi sana zinapunguza hata waliopo. Ilifikia hatua kuajiriwa inakuwa bahati sana na una yanyaswa to the maximum mana huna alternative nyingine ikafikia pahala mpaka graduate analipwa laki moja na nusu kwa mwezi. Kuna baadhi ya shule ukiajiliwa tu wakati wa kwenda kazini mlinzi ankupokonya simu mpaka saa moja usiku ndo atakurudishia wakati unaenda nybani mfano Nyahili iliyopo Arusha.
Public sector kama ajira kwa walimu na madaktari ikawa ni issue hakuna tena ajira na zikitangazwa wanaotaka watu elfu tano au kumi nchi nzima na zenyewe ikawa ni hadaa. Tulishuhidia katika ajira hizo wanajaza waliopo kwenye ajira tayari ili kutimiza idadi na wakati wapya hawazidi elfu moja.
Kwa Sasa angalau ajira zinaanza kumwagika private sector na public sector mana wawekezaji wameongezeka na shule zilizokufa au kufungiwa zinafufuka Sasa hivi. Mea si mrefu tutarudi enzi za jk ambapo kazi kama ualimu au udaktari ilikuwa hamna kuomba Bali unapangiwa mojakwamoja labda ukatae wewe tu.
Shukrani kwa mwenyezi mungu kutuona waja wake mana Hali ilikuwa mbaya sana.