Madereva wa mikoani, tabia na utaratibu wa kupaki mabasi sehemu ya chakula chenye bei juu mnaumiza abiria wenye kipato kidogo

Kabisa,gari ikikwama ndo mnachimba dawa,mnarudi mnasukuma wenyewe.
Likitoka na matope yetu.dere atangoja tu mjae wote maana mbele hajui kitachotokea.
Mkijaa mnaanza tena,ni pori kwapori njia mbaya.
Hamuachi mtu njiani
Maana kiwaacha huko mbele nani atasukuma bus?
😋😋, Vijana wa siku hizi tumekuwa walaini sana, Maana ni mwendo wa kushindia chips mchana, chips usiku, nguvu zitatoka wapi?
 
Wacha weeeee. Kwamba wale ndo wasafi? Kama dereva na makonda(wasaidizi/wahudumu kwenye basi) wanakula bure,watashindwa kusimama? Maana vituo wanavyosimama ukishuka tu imekula kwako. Kwenye elfu 7 au 8, kila buku ikiwa kufidia chakula cha dereva na watu wake,unadhani waizaji wana hasara? Sema mngeomba basi waruhusiwe na wapishi wa bei ndogo maeneo hayo. Nani atalishughulikia?! We nunua biskuti zako na soda kubwa na keki,jikaze. Kwa wenye watoto ndo mtihani
Ni vyema wakajitengenezea vyakula nyumban wabebe!
 
Afadhali hapo huduma ya choo bure. Serikali yenyewe imeshindwa hata kujenga choo kimoja cha abiria barabarani nchi mzima.
Kwa idadi ya mabasi unadhani ni mji gani unaweza kuwahudumia abiria mia 5 kwa wakati mmoja?
Dereva analipwa pesa na wafanyabishara wa ile migahawa na anapata take away moja free. Wewe ungekuwa dereva usingesimama?
Dawa ni kurudi kwenye serikali ya ujamaa serikali itoe huduma.
 
Afadhali hapo huduma ya choo bure. Serikali yenyewe imeshindwa hata kujenga choo kimoja cha abiria barabarani nchi mzima.
Kwa idadi ya mabasi unadhani ni mji gani unaweza kuwahudumia abiria mia 5 kwa wakati mmoja?
Dereva analipwa pesa na wafanyabishara wa ile migahawa na anapata take away moja free. Wewe ungekuwa dereva usingesimama?
Dawa ni kurudi kwenye serikali ya ujamaa serikali itoe huduma.


Kwa idadi ya mabasi unadhani ni mji gani unaweza kuwahudumia abiria mia 5 kwa wakati mmoja?
Abiria wanapita trip tofauti tofauti, kwa hiyo huduma haiwezi kuwa kwenye mkoa mmoja, kwani hukumbuki Kipindi cha Miaka ya nyuma Abiria walikuwa wanakula stend.?


Dereva analipwa pesa na wafanyabishara wa ile migahawa na anapata take away moja free. Wewe ungekuwa dereva usingesimama?
Kupewa posho na takeaway moja free, hicho ni kitu kidogo sana, mfanya biashara yeyote yule kama utampelekea wateja kwa namna yeyote ile, lazima atakukumbuka tu kwenye fungu.

Dawa ni kurudi kwenye serikali ya ujamaa serikali itoe huduma.
Hapa umeongea point mkuu,
 
Back
Top Bottom