Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,562
- 2,124
😋😋, Vijana wa siku hizi tumekuwa walaini sana, Maana ni mwendo wa kushindia chips mchana, chips usiku, nguvu zitatoka wapi?Kabisa,gari ikikwama ndo mnachimba dawa,mnarudi mnasukuma wenyewe.
Likitoka na matope yetu.dere atangoja tu mjae wote maana mbele hajui kitachotokea.
Mkijaa mnaanza tena,ni pori kwapori njia mbaya.
Hamuachi mtu njiani
Maana kiwaacha huko mbele nani atasukuma bus?