The email
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 666
- 1,245
Madereva wana posho zao kupeleka wasafiri eneo hilo la chakula na chakula cha pale wanakula wapendacho bureeeeUkifanya uchunguzi utagundua pia kwamba Madereva wenyewe hawali kwenye hotel hizo huwa wanalipwa hela tu , wao wanakula sehemu maalum , wana wapishi maalum humo njiani huwaletea msosi kwenye maeneo wanayoahidiana