PrN-kazi JF-Expert Member Feb 5, 2011 2,900 444 Mar 29, 2012 #1 Kutokana na ongezeko la bei ya maegesho ya magari hususani daladala madereva wa daladala wameamua kuweka magari yao kando. Watu wanaangaikia wanatembea kwa mguu masafa marefu: Je, Tutafika???? Source: Star TV 1215hrs.
Kutokana na ongezeko la bei ya maegesho ya magari hususani daladala madereva wa daladala wameamua kuweka magari yao kando. Watu wanaangaikia wanatembea kwa mguu masafa marefu: Je, Tutafika???? Source: Star TV 1215hrs.