Jumanho
Member
- Sep 14, 2010
- 37
- 5
Hongera sana Eng. Madeni Shamte Kipande kwa kuteuliwa kuchukuwa nafasi hiyo nyeti na juu kabisa katika taasisi za umma nchini. Kwa ninavyomfahamu mimi ninauhakika mamlaka ya bandari imepata kiongozi shupavu, jasiri, makini mwenye kuthubutu pia mwenye upeo wa hali juu. Tunatumai utaiongoza mamlaka hiyo kupiga hatua kubwa sana.