Madeni Shamte Kipande Akaimu Ukurugenzi mkuu TPA

Pungufu kubwa la Mh Mwakyembe ambalo baadae mtakuja kulibaini ni lile la kutaka kufanya kazi na "watu wake", "WATIIFU" kwake. Serikali na CCM kote kumeoza. Labda kama mpango ni kuwaondoa walioshiba na kuleta walio na njaa nao wale.
 
Kupitia vyombo vya habari, tumesikia kuondolewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari na hapohapo kuteuliwa kwa Mhandisi Kipande kukaimu nafasi hiyo. Mhandisi Kipande anatokea Wizara ya Ujenzi kitengo cha Mizani.

Kwa wanaomfahamu Mhandisi Kipande utendaji wake, tutegemee Sekta ya Bandari kuporomoka vibaya sana. Mhandisi Kipande ni mtu wa Majungu na Fitina sana. Hatutegemei kubadilika na kuingoza Mamlaka ya Bandari kwa Tija. Hata kupewa nafasi ya kukaimu ameipata kwa njia za hira na undugu mwingi.

HILI NI JANGA KUBWA LINALOTHIBITISHA KUWA HATUNA SERIKALI KWA WAKATI HUU.


Thibitisha maneno yako bwana hayo siyo kuzuka na mawazo mepesi! ulikua unafaidika nini? ndivyo inavyokuaga kwenye mambo longolongo!
 
Pungufu kubwa la Mh Mwakyembe ambalo baadae mtakuja kulibaini ni lile la kutaka kufanya kazi na "watu wake", "WATIIFU" kwake. Serikali na CCM kote kumeoza. Labda kama mpango ni kuwaondoa walioshiba na kuleta walio na njaa nao wale.

Anaheri huyu maana tunaona anafanya kazi ya kuwashughulikia waovu wanao tuibia! mambo mengine hayo ni yako kwa kuwa umeshikwa pabaya,ulitaka aache tu? usituletee siasa zako za longolongo nyingi na usanii!
 
Ukiwa mkurugenzi wa mamlaka ya bandari hakuna cha ufanya kazi bora wala uadilifu atakula hela kama wenziwe atajijazia mali na fedha ka waliomtangulia mi nampa hongera kwa kupata cheo cha ulaji kwa kua hata wangeniweka mimi ningekula vibaya mno....

tunakujua wewe ni mchwa ndio mana uko kijiweni hadi leo utaishia huko na ulafi wako
 
Hongera sana Eng. Madeni Shamte Kipande kwa kuteuliwa kuchukuwa nafasi hiyo nyeti na juu kabisa katika taasisi za umma nchini. Kwa ninavyomfahamu mimi ninauhakika mamlaka ya bandari imepata kiongozi shupavu, jasiri, makini mwenye kuthubutu pia mwenye upeo wa hali juu. Tunatumai utaiongoza mamlaka hiyo kupiga hatua kubwa sana.

Sina uhakika na hilo jina la Madeni Shamte Kipande, binafsi kwa udogo wangu katika kumwelewa Mh. huyu anaitwa MADENI JUMA KIPANDE.
 
kipande atanyosha bandari na kuongeza tija. Kwa wastani wa kidunia muda wa meli kusubiri outer anchorage, kuingia bandarini, kapakua na kupakia na kuondoka ni masaa 8 kutegemeana na ukubwa wa meli. Hapa bandarini Dar es salaam ni siku kumi na nne (14). Athari zake ni bidhaa tunazoziagiza kuwa ghali kwenye masoko na bidhaa tunazopeleka nje kushindikana kuuzwa kwa haraka unapolinganisha na bandari nyingine zilikotokea bidhaa kama hizo zenye ufanisi mkubwa- yaani haziwezi kuuzika kirahisi. Bw. Kipande pambana nahili, pili uongeza idadi ya container terminal kwenye bandari ya Dar ili mteja achague mwenyewe mahali gani ashushie bidhaa zake au apakilie bidhaa atakazokuwa anapeleka nje.

Hakikisha bandari ya Bagamoyo inajengwa haraka ili iweze kuleta ushindani na hii bandari ya DAR, ni bandari zilizo umbali wa kilometa 100 zinaweza kuleta ushindani.
 
Hongera sana Eng. Madeni Shamte Kipande kwa kuteuliwa kuchukuwa nafasi hiyo nyeti na juu kabisa katika taasisi za umma nchini. Kwa ninavyomfahamu mimi ninauhakika mamlaka ya bandari imepata kiongozi shupavu, jasiri, makini mwenye kuthubutu pia mwenye upeo wa hali juu. Tunatumai utaiongoza mamlaka hiyo kupiga hatua kubwa sana.
[MENTION]
Jumanho[/MENTION] huyo mwandani wako si anakaimu tu?
 
Walikuwa wanamtaka mtu wao sasa wamempata ili waweze kutuibia vizuri na wamepanga akiondoka Kitilya TRA, wampeleke mtu wa sampuli ya Ramadhani Dau ingawa fani yake ni marketing.

Endeleeni tu kuigawa hii nchi kwani matunda ya sera zenu chafu mmeishaanza kuyaona kwenye sensa.

Sijakuelewa bado
 
Walikuwa wanamtaka mtu wao sasa wamempata ili waweze kutuibia vizuri na wamepanga akiondoka Kitilya TRA, wampeleke mtu wa sampuli ya Ramadhani Dau ingawa fani yake ni marketing.

Endeleeni tu kuigawa hii nchi kwani matunda ya sera zenu chafu mmeishaanza kuyaona kwenye sensa.

Mkuu nakuunga mkono asilimia 100. Hakuna jipya hapo tunayemfahamu Madeni Kipande. Kitakachoendelea TPA kwa sasa ni kufukuzana kazi tu.
 
Nawashangaa sana mleta mada pamoja na Dr. Mwakyembe. Hapo mmeingia choo cha kike cha JK kinachonuka udini na ukabila bila kuangalia tija. MITANZANA NDIVYO TULIVYO.

Ebu jiulize huyo kipande vipi habari ya mizani? Vipi habari za road safety? Mbona hatuambiwi hapo Wizara ya ujenzi alikuwa nani na anafanya nini? Kama alikuwa benchi ni kwa nini? Ana stadi zipi za kuongoza bandari hata kwa saa moja tu?
 
Hakikisha bandari ya Bagamoyo inajengwa haraka ili iweze kuleta ushindani na hii bandari ya DAR, ni bandari zilizo umbali wa kilometa 100 zinaweza kuleta ushindani.

Kwenye hili litafanyiwa "fast track" kwa masilahi ya JK na wana ukoo wake
 
Nawashangaa sana mleta mada pamoja na Dr. Mwakyembe. Hapo mmeingia choo cha kike cha JK kinachonuka udini na ukabila bila kuangalia tija. MITANZANA NDIVYO TULIVYO.

Ebu jiulize huyo kipande vipi habari ya mizani? Vipi habari za road safety? Mbona hatuambiwi hapo Wizara ya ujenzi alikuwa nani na anafanya nini? Kama alikuwa benchi ni kwa nini? Ana stadi zipi za kuongoza bandari hata kwa saa moja tu?

Mkuu hapo kwenye red, nadhani hasira zimekufanya ukosee kutype japo bora ulivyokosea maana ungepatia ungekuwa umetudhalilisha Watanzania wote including you.

Wote tunajua kuwa tatizo la nchi yetu sio watu bali ni mfumo. kuna watu wazuri sana kwenye utendaji na waadilifu ila mfumo unawanyima nafasi ya kutenda mema.

La muhimu ni kukusanya nguvu zetu hapo 2015 ili tubadili mfumo kwa pamoja ili nchi isonge mbele. Kwa sasa ni kuvumilia maumivu tu na serikali hii ya kijambazi. Japo kwenye ujambazi kuna wale wenye roho ya woga kidogo ndo wakina Mwakyembe na wengine wachache.

Ni bora tuwaunge mkono kwa mda uliobaki angalau kama watu walipanga kula 100% basi wale 45% tu.

2015 ndo habari yenyewe japo watanzania tunapenda kulalamika bila kuchukua hatua.
KWA MSAADA WA WATU WA TANGANYIKA, MABADILIKO NA MAENDELEO YA KWELI YANAWEZEKANA. IT BEGINS WITH YOU.
 
Back
Top Bottom