Madeni Shamte Kipande Akaimu Ukurugenzi mkuu TPA

Huyu kipanda siyo yule aliyekuwa tanroads? Alianza kama rural road engineer-mbeya, regional engineer-kilimnjaro, baadaye mkurugenzi wa mizani -tanroads. Si-comment chochote, lakini nyie mnafahamu yaliyojiri huko mizani

Hata mimi nimeshangaa ameteuliwa kwa merits zipi? Ninamfahamu sana. Ngoja tuone itakavyokuwa!!!
 
Kama ndio huyu aliyekomaa na zile boti basi anafaa!
Tz ya leo kupata mtu clean kama malaika ni issue so angalau huyu kama atauma am sure atakuwa anapuliza pia
unlike wengine wanauma na kungoa
 
Hongera sana Eng. Madeni Shamte Kipande kwa kuteuliwa kuchukuwa nafasi hiyo nyeti na juu kabisa katika taasisi za umma nchini. Kwa ninavyomfahamu mimi ninauhakika mamlaka ya bandari imepata kiongozi shupavu, jasiri, makini mwenye kuthubutu pia mwenye upeo wa hali juu. Tunatumai utaiongoza mamlaka hiyo kupiga hatua kubwa sana.

Hata yule wa Tanesco (Mhando) mlimpokea kwa shwangwe na vifijo kama huyu Kipande. Hamjakaa sawa mkasikia kamchotea mkewe milioni 800! Kahonga hadi wabunge! DUH! Nchi hii siamini mtu. Kipande kitakuwa Kizima pale container litakapowasili leo na kutoka kesho yake.
 
tatizo serikali hii hata kama msafi watakulazimisha uchafuke tu!
 
Kwenye red hapo ni Kipande, Hapo kwenye red ya pili hajawahi kuwa mkurugenzi wa mizani tanroads, bali ni Mkurugenzi wa Idara ya Usalama na Mazingira, Wizara ya Ujenzi nafasi ambayo alikuwa anaishikilia mpaka anateuliwa kuchukua nafasi hii ya sasa. Ila haswaa ni huyo unaemfahamu

kwa huyo bandari patanyooka nampata vizuri sana
 
Kupitia vyombo vya habari, tumesikia kuondolewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari na hapohapo kuteuliwa kwa Mhandisi Kipande kukaimu nafasi hiyo. Mhandisi Kipande anatokea Wizara ya Ujenzi kitengo cha Mizani.

Kwa wanaomfahamu Mhandisi Kipande utendaji wake, tutegemee Sekta ya Bandari kuporomoka vibaya sana. Mhandisi Kipande ni mtu wa Majungu na Fitina sana. Hatutegemei kubadilika na kuingoza Mamlaka ya Bandari kwa Tija. Hata kupewa nafasi ya kukaimu ameipata kwa njia za hira na undugu mwingi.

HILI NI JANGA KUBWA LINALOTHIBITISHA KUWA HATUNA SERIKALI KWA WAKATI HUU.
 
Kupitia vyombo vya habari, tumesikia kuondolewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari na hapohapo kuteuliwa kwa Mhandisi Kipande kukaimu nafasi hiyo. Mhandisi Kipande anatokea Wizara ya Ujenzi kitengo cha Mizani.

Kwa wanaomfahamu Mhandisi Kipande utendaji wake, tutegemee Sekta ya Bandari kuporomoka vibaya sana. Mhandisi Kipande ni mtu wa Majungu na Fitina sana. Hatutegemei kubadilika na kuingoza Mamlaka ya Bandari kwa Tija. Hata kupewa nafasi ya kukaimu ameipata kwa njia za hira na undugu mwingi.

HILI NI JANGA KUBWA LINALOTHIBITISHA KUWA HATUNA SERIKALI KWA WAKATI HUU.

Ndugu THIBITISHA uliyotuambia hapo juu ili nawe isiwe ikawa ni mtu wa majungu.
 
Tunashukuru sana kwa nyepesi nyepesi zako ambazo umetuwekea hapa ingawa hazina mashiko,mimi naomba uweke nzito nzito maana nyepesi nyepesi kwa wakati huu tulionao hazitufai.
 
Mwaga newz mkuu, jamaa ndo kwanza kapewa rungu, muweke wazi wadau waanze kumuobserve! Usishangae akafanya wonders ndani ya muda mfupi tu we ndo ukaonekana mfitini
 
Kwahiyo Mhandisi Kipande kazi yake pale ni kwenda kuendesha foklift na crane? au kuongoza na kurudisha heshima ya bandari iliyopotezwa na kina Mgawe na kundi lake.
Na kwa taarifa yako Kila ulaji na ufisadi bandarini unaeleweka wazi! na hata kiongozi akiwa dhaifu au mwizi anajulikana haraka! na dhahiri.
Unachezea mtu anaeitwa KULI wewe!
 
Kupitia vyombo vya habari, tumesikia kuondolewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Bandari na hapohapo kuteuliwa kwa Mhandisi Kipande kukaimu nafasi hiyo. Mhandisi Kipande anatokea Wizara ya Ujenzi kitengo cha Mizani.

Kwa wanaomfahamu Mhandisi Kipande utendaji wake, tutegemee Sekta ya Bandari kuporomoka vibaya sana. Mhandisi Kipande ni mtu wa Majungu na Fitina sana. Hatutegemei kubadilika na kuingoza Mamlaka ya Bandari kwa Tija. Hata kupewa nafasi ya kukaimu ameipata kwa njia za hira na undugu mwingi.

HILI NI JANGA KUBWA LINALOTHIBITISHA KUWA HATUNA SERIKALI KWA WAKATI HUU.
Nani unaona anafaa kushika nafasi hiyo? unaongelea majungu na fitina wakati wewe unaendekeza mambo hayo hayo ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom