Tatizo wanakuaga wavivu sana kwenye kiwanja, wanafikiri uzuri wao basi hata kwenye performance iko hivyo hivyo aahaaaa
Mkuu tunazungumzia mademu wa tanga hapa, una hakika na hicho ukisemacho?
Tanga kunani pale mbona kila totoz pale zavutia...
Siku hizi na utandawazi wengi wachovu,enzi hizo bado kuna unyago na mambo ya jamii na mila bwana,siku hizi watoto wote wanapelekwa shule za Kata na mahanjumati yamekwisha wamekuwa kama wakibosho wa mjini.nilikuwepo huko siku si nyingi,nilipikiwa chapati za mafuta ya nazi acha kabisa, achana na mafuta yenu ya korie sijui ndo alizeti... usifanye mchezo na mademu wa tanga
nilikuwepo huko siku si nyingi,nilipikiwa chapati za mafuta ya nazi acha kabisa, achana na mafuta yenu ya korie sijui ndo alizeti... usifanye mchezo na mademu wa tanga
Kuna haja gani ya ku-quote post ndefu namna hiyo. Mnatutesa tunaotumia simu kuperuzi JFnaomba no zao za simba nijaribu bahati yangu.