Mademu wa Tanga, HAKUNAGA

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,055
30373_502008346486257_523615909_n.jpg


32351_502008266486265_973839529_n.jpg


68876_502003229820102_1264661901_n.jpg


262727_401104729965104_973856980_n.jpg


261515_398274280248149_1170732492_n.jpg


302719_394067737335470_708697941_n.jpg
 
Huyo mmoja alikua pale Eckenforde Secondary school alikua mfagizi sijui kama bado yupo ila huyo mweupe sana alikua anauza Genge pale Kisosora-tanga, halafu huyo mwenye maziwa mazuri mazuri huyo alikua anauza Juice ya Miwa bara bara ya Kumi na tatu pale....
Huyu mwenye gauni lililom'bana alikua anawauzia wanafunzi wa Galanos Mihogo na Ice Cream mida ya saa nne ni mwenyeji wa pale Nguvumali-Tanga.

Hao wengine wanaishi pale Mchuzi wa Nyoka ukielekea Pangani walikua majirani zangu
 
Tatizo wanakuaga wavivu sana kwenye kiwanja, wanafikiri uzuri wao basi hata kwenye performance iko hivyo hivyo aahaaaa
 
Hahahaaa nimerudi kwenye topic Mpwa niliteleza kidogo, hao wa Tanga hao utakimbia mwenyewe.....wakati nasoma Tanga Tech nilikua na mmoja nadhani ni huyo hapo wa pili au wa tatu sikumbuki vizuri mumewe alikua Mvuvi kila jamaa akienda kuvua mwanamke ananiletea samaki na miog, mmmhh huko kiwanjani sana kila siku mbavu zinauma, nikawa nakaa na Diclofenaki zangu, kila siku ya tukio lazima nimeze, nusura niishie Tanga
Mkuu tunazungumzia mademu wa tanga hapa, una hakika na hicho ukisemacho?
 
nilikuwepo huko siku si nyingi,nilipikiwa chapati za mafuta ya nazi acha kabisa, achana na mafuta yenu ya korie sijui ndo alizeti... usifanye mchezo na mademu wa tanga
 
nilikuwepo huko siku si nyingi,nilipikiwa chapati za mafuta ya nazi acha kabisa, achana na mafuta yenu ya korie sijui ndo alizeti... usifanye mchezo na mademu wa tanga
Siku hizi na utandawazi wengi wachovu,enzi hizo bado kuna unyago na mambo ya jamii na mila bwana,siku hizi watoto wote wanapelekwa shule za Kata na mahanjumati yamekwisha wamekuwa kama wakibosho wa mjini.
 
nilikuwepo huko siku si nyingi,nilipikiwa chapati za mafuta ya nazi acha kabisa, achana na mafuta yenu ya korie sijui ndo alizeti... usifanye mchezo na mademu wa tanga

Nunu hayo mafuta ya nazi peleka kwa demu wako au mke uone kama atashindwa. Wanaume bwana! IRRESPONSIBLE AT HOME halafu mnasifia wa nje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom