Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
wamweleze ukweli...na wahakikishe wanadocument wanayoongea maana jk anashika nafasi ya pili kwa uongo wa kwanza ni pinda....so wawe makini sana na huyu ba' mwanaasha ....wasisahau kumwambia kuwa muhimbili hakuna POP wala bandage....
kuwaondoa nkya na huyo mzee mponda ni compusory...no majadiliano ......
naamini baada ya mazungumzo hayo jk atasema mimi nilikuwa sina taarifa kumbe hali ni mbaya namna hii!!!??...hakuna hata POP?....
kuwaondoa nkya na huyo mzee mponda ni compusory...no majadiliano ......
naamini baada ya mazungumzo hayo jk atasema mimi nilikuwa sina taarifa kumbe hali ni mbaya namna hii!!!??...hakuna hata POP?....