Madaktari watinga ikulu

wamweleze ukweli...na wahakikishe wanadocument wanayoongea maana jk anashika nafasi ya pili kwa uongo wa kwanza ni pinda....so wawe makini sana na huyu ba' mwanaasha ....wasisahau kumwambia kuwa muhimbili hakuna POP wala bandage....

kuwaondoa nkya na huyo mzee mponda ni compusory...no majadiliano ......

naamini baada ya mazungumzo hayo jk atasema mimi nilikuwa sina taarifa kumbe hali ni mbaya namna hii!!!??...hakuna hata POP?....
 
Ni kweli wameenda kuonana na mkuu wa kaya! Habari zimetolewa na vyombo vya habari pia!
 
Naomba utuambie maana nilihisiii :yield: lazima vijana wakalie kuti kavu
 
Yes! this is what the Brave tackle their misunderstanding,Jk is approaching to the point of Braveness

We hope JK atazipokea sasa Barua za Kujiudhuru kwa Mponda na Nkya!
 
Jamani na sisi ma-great thinkers tuwe tunafikiria..hivi kweli huyu jamaa anaetupa-updates anaweza fanya hii kazi ikulu? kwenye ulinzi wa kufa mtu? Naanza kukosa imani na updates za huyu jamaa..wewe tazama hata anavyoripoti ni kama ana-joke vile..ikulu ni ngumu kutupa updates labda sijui iweje,tuwe ma-great thinker kufikiria kwa hili.


inategemeana na anayeripoti...kama anatumia simu hawezi......mule ndani kama huna viatu maalumu na pete maamulu huwezi kuvujisha live....ukiwa na vitu hivyo hapo ndo vitu huwa vinavuja.....ningempa hata rosary yangu maalumu tungepata kila kitu....basi tu wacha tutubiri yatakayojiri..........
 
Jamani na sisi ma-great thinkers tuwe tunafikiria..hivi kweli huyu jamaa anaetupa-updates anaweza fanya hii kazi ikulu? kwenye ulinzi wa kufa mtu? Naanza kukosa imani na updates za huyu jamaa..wewe tazama hata anavyoripoti ni kama ana-joke vile..ikulu ni ngumu kutupa updates labda sijui iweje,tuwe ma-great thinker kufikiria kwa hili.

Ikulu kulivyo na ulinzi vile eti mtu aingie na kisimu chake aanze kupost pumba zake!huyu atakua ni jobless fulani hv,kakaa kijiweni na simu yake anaanza post anachojisikia
 
Nobody can ever play chicken with think tanks of the nation(doctors).

drs sio think tanks wa taifa jamani, wa mwili wa mwanadamu sawa kwa kiasi.
Arrogance inawaponza.
Think tanks would dare to admit that they know less than ppl think they know.
Baada ya form six wamesomea viumbe tu, tena kiumbe mmoja. Wenye bahati ya kuhusisha na mambo nje ya hosp kidogo wanaanza kujua dunia inaenda wapi. Tofauti na wengine ambao husoma masomo kuhusu mambo mengi na kupanuka mawazo mapema
 
Ameona angeongea na wazee angelikoroga kwa sababu wazee wa ccm wakishapewa wali kaz yao ni kupiga tu makofi.....na ingemcost sana,for this congratulation m..kwere.
 
Ni kweli wameenda kuonana na mkuu wa kaya! Habari zimetolewa na vyombo vya habari pia!
Safi sana Rais JK. Ikulu ni ya Watanzania wote itumie kutatua matatizo ya raia wako. Kwisha habari; nasubiri taarifa ya habari ya saa mbili kamili kupitia TBC1 ikiwa na habari ya kwanza kabisa kwamba madaktari wamkubali kuacha mgomo bila masharti yoyote baada ya kuwa wamekutana na Rais ikulu ya Dar es Salaam. Nilikuwa nataka kushangaa, kama JK aliweza kusaidia katika utatuzi wa mgogoro wa Kibaki na Raila na pia kumaliza gogoto la Zanzibar iweje ashindwe na kagogoro haka kadogo! Miaka kumi akiwaongoza mabalozi imempa uzoefu wa kutosha wa kidiplomasia. Hapa inatumika diplomasia tu.
 
for once, JK anaanza kuonyesha kamwanga kadoogo kwenye tunnel. Tungojee matokeo!
 
drs sio think tanks wa taifa jamani, wa mwili wa mwanadamu sawa kwa kiasi.
Arrogance inawaponza.
Think tanks would dare to admit that they know less than ppl think they know.
Baada ya form six wamesomea viumbe tu, tena kiumbe mmoja. Wenye bahati ya kuhusisha na mambo nje ya hosp kidogo wanaanza kujua dunia inaenda wapi. Tofauti na wengine ambao husoma masomo kuhusu mambo mengi na kupanuka mawazo mapema
kaombe mtaala wa muhas ujifunze zaidi.
 
drs sio think tanks wa taifa jamani, wa mwili wa mwanadamu sawa kwa kiasi.
Arrogance inawaponza.
Think tanks would dare to admit that they know less than ppl think they know.
Baada ya form six wamesomea viumbe tu, tena kiumbe mmoja. Wenye bahati ya kuhusisha na mambo nje ya hosp kidogo wanaanza kujua dunia inaenda wapi. Tofauti na wengine ambao husoma masomo kuhusu mambo mengi na kupanuka mawazo mapema
umenichekesha sana na ulichoandika.hivi nyie mnaojiita think tanks mnatibiwa na nani?leo hii daktari aweza sema you are insane and society will believe him beyond doubts.daktari anajua ni jinsi gani ubongo wa huyo think tank unavyofanya kazi sasa nani hapo think tank?
 
wamweleze ukweli...na wahakikishe wanadocument wanayoongea maana jk anashika nafasi ya pili kwa uongo wa kwanza ni pinda....so wawe makini sana na huyu ba' mwanaasha ....wasisahau kumwambia kuwa muhimbili hakuna POP wala bandage....

kuwaondoa nkya na huyo mzee mponda ni compusory...no majadiliano ......

naamini baada ya mazungumzo hayo jk atasema mimi nilikuwa sina taarifa kumbe hali ni mbaya namna hii!!!??...hakuna hata POP?....

Jamani hivi hata techniques kidogo za majadiliano hatuna au hatuzijui? Mtu akikuita uende kujadiliana naye nyumbani kwake wewe hesabu umeumia. Amekalia kiti chake cha enzi na wewe ndio mara ya kwanza unaingia kwake tena IKULU. Haya yetu macho. Lakini yote heri tunachokata mgomo uishe watu wapate huduma za matibabu.
 
Kama wassira akishiriki hayo mazungumzo hayatozaa matunda, yule mzee amechoka kimwili na kiakili lakini JK ndiye anamtegemea kwa ushauri.
Nadhani yule mzee ni mkuu wa kamati ya ufundi mana kama simuelewi elewi hivi.
 
Wazazi hivi anayetengeneza juice ikulu ni nani maana ukishapiga glasi unalegea kabisa; ila madr rudini mzigoni msiuwe watu ishu imeeleweka..................wapi pinda na wachina wake
 
Mkuu anawagombeza kama watoto ma doc wamekuwa wadogo kama tule tudawa wanakotupaga
...madokta huwaudimia ata vichaa,atakuwa huyo mzima anayejitoa akili?!...naamin kati ya hilo jopo la madaktari walienda ikulu pia doc wa magojwa ya akili atukuwepo...
 
[h=1]JK AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA MADAKTARI IKULU LEO.[/h]



Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwakaribisha Ikulu jijini Dar es salaam viongozi wa Chama cha madaktari nchini muda mfupi uliopita. Mkutano wake na Wazee wa Jiji la Dar es salaam umeahirishwa hadi kesho. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na viongozi wa Chama Cha Madaktari nchini(MAT) Ikulu jijini Dar es salaam. (Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu).
 
Back
Top Bottom