Quote "I guess kesho habari kuu kwenye media ni madaktari wasitisha mgomo na kurudi kazini,. anayebisha tu bet!!"
Uko sahihi kamanda wangu. Ni kweli MAT wametangaza muda mfupi ulipita kuwa mgomo umesitishwa rasmi baada ya kukutana na Rais na kujadili naye mambo kadhaa kwa kina na mwisho wa mazungumzo yao wakaona ni busara kusitisha mgomo
JK AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA MADAKTARI IKULU LEO.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na viongozi wa Chama Cha Madaktari nchini(MAT) Ikulu jijini Dar es salaam. (Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.