SaidAlly
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 2,328
- 2,217
Doktaaaa......Dr. Klinton!
Tunajua madaktari miandiko yenu ni mibaya kwa asilimia kubwa, sasa hiyo hadi kwy computer au simu? Tumia japo standands za uandishi ili tuweze kusoma na kuelewa vizuri mchango wako. HERUFI KUBWA MWANZO MWISHO??? Daaaaah...!!
Tunajua madaktari miandiko yenu ni mibaya kwa asilimia kubwa, sasa hiyo hadi kwy computer au simu? Tumia japo standands za uandishi ili tuweze kusoma na kuelewa vizuri mchango wako. HERUFI KUBWA MWANZO MWISHO??? Daaaaah...!!