Madaktari oneni hili

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Hivi hao madaktari wameshaomba au wameweka awepo wakili aandike vithibitisho kutoka kwa dr na hata kurekodi kauli zake.
Nawapa hongera madaktari waliojumuika na kuonyesha fani zao katika kuokoa maisha ya mwenzao ,juhudi mnazozionyesha na mafanikio mtakayoyapata inaonyesha wazi ni jinsi gani mlivyo na uwezo.

uwezo na ujuzi mnaotumia usibakie hapo tu ,nikimaanisha muutumie kwa raia wengine ambao hawana uwezo wa kifedha wala uwezo wa kuwapa chochote ikiwamo rushwa ili mgonjwa wao apate tiba stahiki au angalau aweze kufaidi uwezo na juhudi zenu.

Ondoeni ile senenesenene ya wananchi kulalamika ikiwa huna hela hupati matibabu hapo muhimbili au kwengineko ,ile tabia ya kumuona daktari pembeni ili mgonjwa wako atibiwe na kupata tiba ya uhakika muiondoe na kuifuta kabisa.

Oneni jamii inavyoungana nanyi katika hili.Kuwalipa fadhila ni kuhakikisha huko twendako mnawapa huduma nzuri at first place bila ya kujali ni tajiri au masikini mnyonge ,waliomuokota Ulimboka ni hao hao wanyonge ,wanaokuja hapo mahospitalini na kuhitaji msaada wenu ni vizuri muwahudumie bila ya kuwadai au kutaka rushwa pembeni.
 
Hivi hao madaktari wameshaomba au wameweka awepo wakili aandike vithibitisho kutoka kwa dr na hata kurekodi kauli zake.
Nawapa hongera madaktari waliojumuika na kuonyesha fani zao katika kuokoa maisha ya mwenzao ,juhudi mnazozionyesha na mafanikio mtakayoyapata inaonyesha wazi ni jinsi gani mlivyo na uwezo.

uwezo na ujuzi mnaotumia usibakie hapo tu ,nikimaanisha muutumie kwa raia wengine ambao hawana uwezo wa kifedha wala uwezo wa kuwapa chochote ikiwamo rushwa ili mgonjwa wao apate tiba stahiki au angalau aweze kufaidi uwezo na juhudi zenu.

Ondoeni ile senenesenene ya wananchi kulalamika ikiwa huna hela hupati matibabu hapo muhimbili au kwengineko ,ile tabia ya kumuona daktari pembeni ili mgonjwa wako atibiwe na kupata tiba ya uhakika muiondoe na kuifuta kabisa.

Oneni jamii inavyoungana nanyi katika hili.Kuwalipa fadhila ni kuhakikisha huko twendako mnawapa huduma nzuri at first place bila ya kujali ni tajiri au masikini mnyonge ,waliomuokota Ulimboka ni hao hao wanyonge ,wanaokuja hapo mahospitalini na kuhitaji msaada wenu ni vizuri muwahudumie bila ya kuwadai au kutaka rushwa pembeni.

Like down loading..............
 
Hivi hao madaktari wameshaomba au wameweka awepo wakili aandike vithibitisho kutoka kwa dr na hata kurekodi kauli zake.
Nawapa hongera madaktari waliojumuika na kuonyesha fani zao katika kuokoa maisha ya mwenzao ,juhudi mnazozionyesha na mafanikio mtakayoyapata inaonyesha wazi ni jinsi gani mlivyo na uwezo.

uwezo na ujuzi mnaotumia usibakie hapo tu ,nikimaanisha muutumie kwa raia wengine ambao hawana uwezo wa kifedha wala uwezo wa kuwapa chochote ikiwamo rushwa ili mgonjwa wao apate tiba stahiki au angalau aweze kufaidi uwezo na juhudi zenu.

Ondoeni ile senenesenene ya wananchi kulalamika ikiwa huna hela hupati matibabu hapo muhimbili au kwengineko ,ile tabia ya kumuona daktari pembeni ili mgonjwa wako atibiwe na kupata tiba ya uhakika muiondoe na kuifuta kabisa.

Oneni jamii inavyoungana nanyi katika hili.Kuwalipa fadhila ni kuhakikisha huko twendako mnawapa huduma nzuri at first place bila ya kujali ni tajiri au masikini mnyonge ,waliomuokota Ulimboka ni hao hao wanyonge ,wanaokuja hapo mahospitalini na kuhitaji msaada wenu ni vizuri muwahudumie bila ya kuwadai au kutaka rushwa pembeni.

excellent
 
Back
Top Bottom