Elimu ya chuo kikuu imekuwa kama msahafu, inadumaza mawazo mapya maprofesa wetu huko vyuoni hawana utofauti na wachungaji

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,654
9,259
Nitatumia madaktari kama mfano wa watu wasio kuwa na uwezo wa kuzalisha mawazo mapya elimu yao iko ktk mfumo wa msahafu yaani anatakiwa afuate kile alicho fundishwa tu na si vinginevyo na anatakiwa kufuata muongozo kutoka wizara ya afya uitwao standard treatment guideline.

Ili uwe daktari mzuri unahitaji mambo matatu

1. Uwezo mkubwa wa kutunza data na mambo utakayofundishwa (uwe na hard disk kubwa kichwani)

2. Uwe na uwezo wa kukumbuka kwa haraka data na taarifa ulizonazo kichwani kwa kuoanisha na zile anazokuambia mgonjwa au utakazo ziona (kama vile google inavofanyaga kazi)

3. Uwe mtaalamu wa kubeti yaani mgonjwa akieleza dalili za ugonjwa flani kwenye matokeo ya google results kichwani mwako ujue kuotea vizuri ndo umwandikie aende maabara kisha arudi ili uone ulivobet kama ni sahihi au hapana mkeka ukichanika unampa rufaa.

Mchakato wa kuwapata watu wenye uwezo huo hufanyika kwa kuangalia mwenye alama nyingi necta hao vijana wapo kwa wingi hapo muhimbili. Hawa madaktari hawana mawazo mapya.
 
Mfano prof JANABI hana utofauti na mchungaji gwajima maana wote wanahubiri kile walichofundishwa kilicho ktk maandiko ya kidaktari mmoja ktk biblia. Mfano magufuli aliwachalenge kwa kuwaparekea damu ya mbuzi na juisi ya papai ambapo sample alizipa majina ya binadamu majibu waliyoyatoa ni kwamba sample zina corona, aka anzisha tiba mbadala wakaanza kuuita ni ya kichawi sasa walishindwa nini kuijaribia hiyo tiba kwa wagonjwa kisha watoe majibu ya kitaalam
 
Nitatumia madaktari kama mfano wa watu wasio kuwa na uwezo wa kuzalisha mawazo mapya elimu yao iko ktk mfumo wa msahafu yaani anatakiwa afuate kile alicho fundishwa tu na si vinginevyo na anatakiwa kufuata muongozo kutoka wizara ya afya uitwao standard treatment guideline . Ili uwe daktari mzuri unahitaji mambo matatu 1.uwezo mkubwa wa kutunza data na mambo utakayofundishwa (uwe na hard disk kubwa kichwani) 2. Uwe na uwezo wa kukumbuka kwa haraka data na taarifa ulizonazo kichwani kwa kuoanisha na zile anazokuambia mgonjwa au utakazo ziona (kama vile google inavofanyaga kazi) 3. Uwe mtaalamu wa kubeti yaani mgonjwa akieleza dalili za ugonjwa flani kwenye matokeo ya google results kichwani mwako ujue kuotea vizuri ndo umwandikie aende maabara kisha arudi ili uone ulivobet kama ni sahihi au hapana mkeka ukichanika unampa rufaa. Mchakato wa kuwapata watu wenye uwezo huo hufanyika kwa kuangalia mwenye alama nyingi necta hao vijana wapo kwa wingi hapo muhimbili. Hawa madaktari hawana mawazo mapya.
Nikistaafu nalipwa 33% alafu kiasi kingine nitalipwa kidogokidogo, ila nikifa pesa yangu ya kiinua mgongo iliyobaki byebye..., ila wewe unayenismart ukistaafu na degree yako hiyo moja na chet cha computer cha MWAKALINGA, unapokea kiinua 100%. Tatizo tuanzie hapa..Kuna Mkuu mmoja wa IDARA iliwalikisha chuo KIMOJA kikubwa Sana hapa TZ, huko SWITZERLAND, WaTz walikuwa 3 Tu, Kati ya 45, chakushangaza msomi huyo hakuchangia chochote na alikuwa analala mezani. Nikawaza moyoni huyu alipewaje Nafasi kubwa hivi?. Ila nilivyomuangalia vizur licha ya kuvaa hijabu ana tako kubwa .
 

Attachments

  • image_f10952fd-8974-455c-a06d-a3fe7572943720231008_140632.jpg
    image_f10952fd-8974-455c-a06d-a3fe7572943720231008_140632.jpg
    78.6 KB · Views: 1
Madaktari, wanasheria, engineer n.k wa hapa bongo hawana tofauti na mchungaji aliyesoma biblia. Wanachojua wao ni kuamini na kuishi ktk maandiko hawana mawazo mbadala wala hawawezi kuchallenge kilichopo vyuo vikuu vimekua kama makanisa hizo lectures ni kama mahubiri.
 
Madaktari, wanasheria, engineer n.k wa hapa bongo hawana tofauti na mchungaji aliyesoma biblia. Wanachojua wao ni kuamini na kuishi ktk maandiko hawana mawazo mbadala wala hawawezi kuchallenge kilichopo vyuo vikuu vimekua kama makanisa hizo lectures ni kama mahubiri.
Hapo kwenye madaktari ngoja bichwakomwe aje
 
Hapo kwenye madaktari ngoja bichwakomwe aje
artificial intelligence siku moja itakuja kuondoka na ajira za madaktari wengi tu maana mfumo wanaotumia unawezekana kukakaa ktk mashine wewe ukifika unajieleza tu yenyewe inakuandikia vipimo uende maabara
 
Nitatumia madaktari kama mfano wa watu wasio kuwa na uwezo wa kuzalisha mawazo mapya elimu yao iko ktk mfumo wa msahafu yaani anatakiwa afuate kile alicho fundishwa tu na si vinginevyo na anatakiwa kufuata muongozo kutoka wizara ya afya uitwao standard treatment guideline . Ili uwe daktari mzuri unahitaji mambo matatu 1.uwezo mkubwa wa kutunza data na mambo utakayofundishwa (uwe na hard disk kubwa kichwani) 2. Uwe na uwezo wa kukumbuka kwa haraka data na taarifa ulizonazo kichwani kwa kuoanisha na zile anazokuambia mgonjwa au utakazo ziona (kama vile google inavofanyaga kazi) 3. Uwe mtaalamu wa kubeti yaani mgonjwa akieleza dalili za ugonjwa flani kwenye matokeo ya google results kichwani mwako ujue kuotea vizuri ndo umwandikie aende maabara kisha arudi ili uone ulivobet kama ni sahihi au hapana mkeka ukichanika unampa rufaa. Mchakato wa kuwapata watu wenye uwezo huo hufanyika kwa kuangalia mwenye alama nyingi necta hao vijana wapo kwa wingi hapo muhimbili. Hawa madaktari hawana mawazo mapya.
Bwana mdogo usije tena kulinganisha elimu yako ya kuunga unga hiyo na vitabu vya dini haijalishi cha dini gani,

Ni vema ulete mjadawa wa dini ili watu wauchambue kuliko kuleta hiki , hivi unaunua msaafu vizuli??

Usaafu umeandikwa kwa lugha ya kiarabu ambayo ndio lugha bora duniani yenye misamiati 88 hakuna lugha yenye misamiati mingi kama kairabu,

English ili misamiati 66 kwa maana kuna misamiati 22 ya kiarabu ambayo english wahaijui maana yake,
 
Niliposikia Profesa kashauri watu watembee hatua 10000 kwa siku kuimarisha afya zao nikajiuliza hivi hafahamu kuwa hii theory imeshapimwa na kuonekana ilikuwa ni dhana dhahania isiyo na maana.

Watanzania tunahitaji sana bidii ya kusoma na kujifunza maarifa mapya. Sehemu kubwa ya elimu yetu imepitwa na wakati na bado tumeishikilia.

Mfano kuna watu wanafikiri kuna sayari tisa angani. Na watabishana.na wewe hadi kutaka kupigana. Sababu walifundishwa hivyo. Ukiwaeleza zipo sayari nyingine zimegundulika hawaamini.
 
Bwana mdogo usije tena kulinganisha elimu yako ya kuunga unga hiyo na vitabu vya dini haijalishi cha dini gani,

Ni vema ulete mjadawa wa dini ili watu wauchambue kuliko kuleta hiki , hivi unaunua msaafu vizuli??

Usaafu umeandikwa kwa lugha ya kiarabu ambayo ndio lugha bora duniani yenye misamiati 88 hakuna lugha yenye misamiati mingi kama kairabu,

English ili misamiati 66 kwa maana kuna misamiati 22 ya kiarabu ambayo english wahaijui maana yake,
medicine inamisamiati zaidi ya 2000 ya kilatini na kigiriki ndio maana ukipewa alichoandika daktari ukitafsiri wewe hautaweza hata kama unajua kiingereza, madaktari wao wakishasoma wakamaliza chuo wanajua kazi imeisha walichonacho cha maana ni uwezo mzuri wa kutunza kumbu kumbu na kutafsiri au kukielezea kile walichomezeshwa wao hawana mawazo mapya ndio maana tunaita elimu yao ni kama msahafu
 
Back
Top Bottom