They have nothing to loose, afterall
hapa ni kuhakikisha hakuna kuugua hadi mgomo utakapo malizika!!
point of correction mkuu sio mgomo coz MAT kisheria hairuhusiwi kuanzisha mgomo.kwa kifupi tuna 'extension meetings' ambazo zitaendelea mpaka pale serikali itakapotatua matatizo yetu.......naibu wizara wa afya kachomoa kukutana nasi saa hizi ingawa about one hour ago alisema atakuja.kaomba tukutane naye kesho,nadhani wanajipanga na propaganda zao
ha ha ha ha....ukigua unapiga kimya na ugonjwa wako home mpaka mgomo uishe....
kugoma kwa madaktari ni aibu kwa serikali na hii ni changamoto kwa serikali..
komaeni wakuu
mbona wao maposho wanajiongezea? inakuwaje kwa watu wanao okoa maisha ya hata wao wenyewe wana wanyanyasa? kwa kizingio cha kiapo hakiwarusu,no no haiwezekani.komaeni kama wao wataenda india kujitibu haina shida lakin i ujumbe uwafikie
tena wanapoteza mapesa kibao kuwaneemesha appolo ambao ni hosptal binafsi
mmenyanyaswa sana,mmeonewa sana,mmetukanwa sana nadhani kuna kitu mnatakiwa kugrand si kingine ni kugoma tu