Mzee wa Kaya natumaini ujumbe huu atakuwa ameshapelekewa na timu ya Salva Rweyemamu. Kazi ipo mwaka huu Poleni wa Dr. wa ukweli kwa matatizo mnayoyapata. Haki haiombwi bali inapiganiwa
Sana sana huyo "kubwa jinga" wa Ikulu aliyeamua kusaliti fani yake atakuja na press release itakayosema
kwamba mgomo wa madaktari unahamasishwa na kuratibiwa na CDM. Mark my words!