Tiba ni kukaa kando asaidiwe na wasiokuwa na huo ugonjwa.Jsaudi vipi kuhusu tiba inapatikana?
Madakatri Bingwa katika hospitali ya taifa Muhimbili wamefanya kikao cha dharura kujadilli hutuba ya Bwana Mponda na kukubaliana kuanza mgomo kupinga taarifa iliyotolewa na serikali Bungeni; Mgomo huo umetangwazwa kutokuwa na Mgomo hadi pale Rais Kikwete atakapoa tamko rasimi la Serikali yake ikiwa ni pamoja na Bwana Mponda kuwaomba rodhi Madaktari na Watanzania wote juu ya upotoshaji alioutoa bungeni kuwa Mgomo umememalizika na hakuna athari kubwa zilizojitokeza katika mahospitali n sasa huduma zinaendelea kama kawaida. Aidha katika taarifa yao ambayo itatolewa baadae na Dr Ulimboka inaomba kada nyingine za Afya na zisizo za Afya kama Walimu kuunga Mkono Mgomo huo mkubwa na wakimapinduzi
Source MHN
Time is not your best friend JK and ur Team plz take care, Watanzania tumechoka
Hivi huyu Jk anasubiri nini au amechoka nasafari ya Davos yaani anakaa kimya wakati nyumba inaungua?
Ingekuwa China Mponda angekuwa keshanyongwa, nadhani hata JK tungeshamsahau, where r u Ocampo?
Hujui kwamba jk alipimwa akakutwa ana ugonjwa wa 'upungufu wa maamuzi mwilini'?
I support Al-Shabaab
Sasa anasubiri nini kujiuzulu?
Anyway what the minister is doing is propaganda But does it make sense to you someone who is not a doctor to be trusted by doctors to speak for them anyway we are not going to argue whether the guy is a Dr or not because they want to diverge our attention this a hoax completely and we wont fall i their trap this easily Dr Ulimboka is Doctor with extraordinary intelligence
He the imbecile a.ka mponda is not dr an he will never be and if u watched the parliament session when he was making such low lame allegations to the public by now u know of what calibre this guy mponda is......
Mbunge mmoja wakati alipoulizwa na waandishi wa habari ana maoni gani kuhusiana na mgomo wa Madaktari, alisema sheria ya mikataba ya kazi haiwaruhusu Madaktari kugoma.