Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Madai yangu makubwa ni kupata expenditure za Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu kwa mwezi. Naweza kupata wapi hizi data? Na je, Bajeti zao kwa mwezi ni kiasi gani? Ninataka expenditure zao za pesa za umma tu. Sijali juu ya pesa zao binafsi.
Kuna mtu anajua Bajeti ya Rais akisafiri? Je, sio haki yangu kama mlipaji wa hiyo safari kujua hilo?
Tukitoka hapo tunakuja mawaziri, wabunge, wakuu wa wilaya, mikoa mpaka diwani.
Lakini tuanze na hao wa juu kabisa.
Kama ni siri, kwa nini iwe hivyo?
Kuna mtu anajua Bajeti ya Rais akisafiri? Je, sio haki yangu kama mlipaji wa hiyo safari kujua hilo?
Tukitoka hapo tunakuja mawaziri, wabunge, wakuu wa wilaya, mikoa mpaka diwani.
Lakini tuanze na hao wa juu kabisa.
Kama ni siri, kwa nini iwe hivyo?